Wanaume wa Dar njaa sana, Arusha/Moshi na Mwanza shibe tupu

mamiake

JF-Expert Member
Apr 20, 2016
270
332
namshukuru mungu kujiunga jukwaa hili
napenda na mimi niweke kero yangu moja kuhusu wanaume wa dar

ukienda out na mwanamme wa dar utaulizwa tu unakunywa nini.. tena atakushawishi unywe vinywaji flani flani kama maji au soda yaani juu juu vya njaa njaa kumbe anaogopa bill sijui?

ila wanaume wa arusha /moshi/mwanza yaani mkifika tu mahali anaenda direct jikoni kwa mbwembwe zote kudai kuna supu gani ? miguu mingapi ya mbuzi au kondoo? au kuku au samaki
ndo mambo ya vinywaji na ukisema unakunywa soda au maji anaweza kuumwa kabisa yaani anaweza hata kukuhonga laki unywe bia moja tu at least chupa imiminwe.ila wa dar ukiagiza bia ataanza mahubiri oooh sio vizuri mwanamke kunywa pombe bla blah kibao
 
namshukuru mungu kujiunga jukwaa hili
napenda na mimi niweke kero yangu moja kuhusu wanaume wa dar

ukienda out na mwanamme wa dar utaulizwa tu unakunywa nini.. tena atakushawishi unywe vinywaji flani flani kama maji au soda yaani juu juu vya njaa njaa kumbe anaogopa bill sijui?

ila wanaume wa arusha /moshi/mwanza yaani mkifika tu mahali anaenda direct jikoni kwa mbwembwe zote kudai kuna supu gani ? miguu mingapi ya mbuzi au kondoo? au kuku au samaki
ndo mambo ya vinywaji na ukisema unakunywa soda au maji anaweza kuumwa kabisa yaani anaweza hata kukuhonga laki unywe bia moja tu at least chupa imiminwe.ila wa dar ukiagiza bia ataanza mahubiri oooh sio vizuri mwanamke kunywa pombe bla blah kibao
Duh karibu mwanza
 
namshukuru mungu kujiunga jukwaa hili
napenda na mimi niweke kero yangu moja kuhusu wanaume wa dar

ukienda out na mwanamme wa dar utaulizwa tu unakunywa nini.. tena atakushawishi unywe vinywaji flani flani kama maji au soda yaani juu juu vya njaa njaa kumbe anaogopa bill sijui?

ila wanaume wa arusha /moshi/mwanza yaani mkifika tu mahali anaenda direct jikoni kwa mbwembwe zote kudai kuna supu gani ? miguu mingapi ya mbuzi au kondoo? au kuku au samaki
ndo mambo ya vinywaji na ukisema unakunywa soda au maji anaweza kuumwa kabisa yaani anaweza hata kukuhonga laki unywe bia moja tu at least chupa imiminwe.ila wa dar ukiagiza bia ataanza mahubiri oooh sio vizuri mwanamke kunywa pombe bla blah kibao


umesahau nguo ya kuazima haisitiri matako tafuta chako ujiachie utegemezi mbaya utategemea wananume hadi lini?
 
kutoka out ni kutegemea mtu?

yeah ni kutegemea mana unaonesha wamekulimit cha kutumia na wengine wamekuacha ujichagulie ina maana wote wasipokuwa na mkwanja kutoka kumekufa huo ndo utegemezi.
 
yaani wewe mtoa mada uko ki golddigger pia imaonekana ni mwanamke wa Dar kutwa kutushobokea wanaume wa Arusha.....msichana tafuta vyako, utaacha lini kuishi kwa kutegemea wanaume!?
wewe ndo wa dar ? unaisshi kwa k za mkopo
 
Yaani nitoke na mwanaume out nilipe mie? Au ni utegemezi gani unaouongelea mkuu?



halafu penzi bora ni lile lilobalansi kwa nini usilipie ukitoka na mwenza wako mkuu? haki sawa ipo upande gani labda ambayo wanawake wanaisimamia? lipa nilipe maisha saiv yapo tofaut mkuu wote tunatakiwa kupambana saiv hakuna jukumu la mwanaume tu labda kama nakununua lakin kwa furaha ni vizur kushea kuepuka kuwa mzigo.
 
halafu penzi bora ni lile lilobalansi kwa nini usilipie ukitoka na mwenza wako mkuu? haki sawa ipo upande gani labda ambayo wanawake wanaisimamia? lipa nilipe maisha saiv yapo tofaut mkuu wote tunatakiwa kupambana saiv hakuna jukumu la mwanaume tu labda kama nakununua lakin kwa furaha ni vizur kushea kuepuka kuwa mzigo.
hivi unajua maana ya kumtoa mtu out?
 
namshukuru mungu kujiunga jukwaa hili
napenda na mimi niweke kero yangu moja kuhusu wanaume wa dar

ukienda out na mwanamme wa dar utaulizwa tu unakunywa nini.. tena atakushawishi unywe vinywaji flani flani kama maji au soda yaani juu juu vya njaa njaa kumbe anaogopa bill sijui?

ila wanaume wa arusha /moshi/mwanza yaani mkifika tu mahali anaenda direct jikoni kwa mbwembwe zote kudai kuna supu gani ? miguu mingapi ya mbuzi au kondoo? au kuku au samaki
ndo mambo ya vinywaji na ukisema unakunywa soda au maji anaweza kuumwa kabisa yaani anaweza hata kukuhonga laki unywe bia moja tu at least chupa imiminwe.ila wa dar ukiagiza bia ataanza mahubiri oooh sio vizuri mwanamke kunywa pombe bla blah kibao
Umerogwa wewe, sijui wa wapi wewe? umekula maharagwe ya wapi wewe?
 
Tatizo lenu mkipewa offer hamchelewi kukimbilia mi Savanna na Hineken, na mipombe ya gharama, wakati wa Chugga na Moshi wanagonga Safari na mi Tusker kwa kwenda USA
 
Back
Top Bottom