Wanaume wa .com

upo kwenye pati alone anakuja mkaka anakuomba kampani anadai yuko single tena lonely sana wisho wa siku mnapeana number kesho yake anakupigia mchana inafika siku umetoka kwenye mahangaiko ni usiku saa tatu unasema ngoja nipimpigie yule kaka hata nirefresh mind loooh halooo ... halooo...sikuskii kesho uje ofsini. khaa asbui anapiga unauchuna unapiga tena usiku inazimwa kabisa..... kwani shida ni nini? au ushamba?kama una ndoa si utulie na ndoa jamani? khaaa.
hahaa..!!mia
 
kupewa namba unahangaika mchana kutwa usiku kucha kumtafuta daaaah...........huyo mwanamke nae wa .com
 
<span style="font-family: franklin gothic medium"><font size="3">Wewe ndio umeharibu hapo.<br />
Ulitakiwa kusubiri awe anakutafuta,hapo ungethibitisha kuwa yupo single.<br />
Haraka zako zimekuonesha mwenzio yupo double.<br />
</font></span>
<br />
<br />
nina wasiwasi hata cku hyo ya pati jamaa aliongea maneno mawili beibii akalegea.. Ucwahii..jifanye bado mgeni,muoga,...mmnnhhh!!
 
ni mshamba bwana
mkuu kosa ulofanya ni kumfunulia ua kabla hujajua ratiba zake za mchana na usiku.bora hata huyo namba inaita wengine tunablock kabisa simu haziingii wala kutoka.inaonyesha unajua kupenda.humpi hata mda wa kupumua duh!.ulimtisha wanaume hatupendi kubanwa banwa ka mtoto mdogo.na inawezekana kweli yupo single lakini akawa busy na mambo mengine au sehemu anapokaa network inasumbua.ukienda offisini jaribu kuongea nae.mia
 
mkuu kosa ulofanya ni kumfunulia ua kabla hujajua ratiba zake za mchana na usiku.bora hata huyo namba inaita wengine tunablock kabisa simu haziingii wala kutoka.inaonyesha unajua kupenda.humpi hata mda wa kupumua duh!.ulimtisha wanaume hatupendi kubanwa banwa ka mtoto mdogo.na inawezekana kweli yupo single lakini akawa busy na mambo mengine au sehemu anapokaa network inasumbua.ukienda offisini jaribu kuongea nae.mia
wapi nimesema nimempa ua
 
Back
Top Bottom