dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,606
- 60,874
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣, ni swala la mda tu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣, ni swala la mda tu
Ila kuendelea kuchat na mwanamke mwenye mwanaume wake ndio ujanja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yupo sawa demu ndio chenga
Sent using Damu ya Yesu
Wewe mleta mada ndio chenga kabisa


Huyo jamaa ni mjanja kuliko wewe. Yeye kukupigia kiroho Safi kauliza kwa upole we unamjibu kwa mihemko??? Fala kweli.
Ulitakiwa kuongea nae Kama alivyokujia mwisho wa siku mnaelewana na kuwa marafiki huku mkichangua Nani wa kumwachia mwenzake huyo Malaya wenu.
Umefeli Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa thread nikwambie tu mzee what you and that bitch are creating is KARMA, nakwambia haitawaacha salama. Unajitetea wakati wewe ndie mpuuzi??! Na huyo bitch pia ni laghai. Kama alikupigia kiustaarabu wewe ndie ANDONDILE MWAFYEKELEWAMBALI.
Kwanza unaanzaji mahusiano na mtu bila kuuliza kama yupo katika mshusiano eti kwa kisingizio "YEYE NI MREMBO HIVYO LAZIMA AWE KATIKA MAHUSIANO", ulitakiwa kama mtu uliyestaarabika kuuliza kwanza, kama angejibu yes basi ungetakiwa kuheshimu territory ya Mwanaume mwenzio lakini angejibu No hapo atleast Karma ingecheza na yeye pekee.
Don't hunt what you can't kill.
Mimi nadhani unaezingua ni wewe unaemfuatilia mwanamke ambae unajua fika kuwa ana mtu wake.
Yupo, sema wewe hujampata na pengine hustahili kumpatahahaaha hakuna demu wa peke yako ulitambue hilo
don't waste your time on lecturing me, this is 2020
Huyo manzi mnafanana akili. Usimuache mkuumzee mm sio mpuuzi mapenzi yanafuatwa popote!! yeye kama alikuwa anajua anabwana anayempenda kwann alikubali kuwa na mm?? ni kwasababu anahisia na mm ndo maana hawezi kujizuia juu yangu!! hii ni kama vita mzee yeyote anaweza kushinda
don't waste your time on lecturing me, this is 2020
Kuhusu hilo hata mimi sijuikwanza ww KE/ME??
don't waste your time on lecturing me, this is 2020
Huyo manzi mnafanana akili. Usimuache mkuu