Wanaume: Vijue visa vya michepuko

Sasa utajiona booonge la boya na utajilaumu sn pale utakapogundua kwamba huyo mkeo, "the so called maza haus", unayehis unamvunjia heshima, unagundua kumbe na yeye ni mchepuko kwa mchizi fulani. Na jamaa anajipigia vizur tu.

Haya mambo bana hayana formula. Usimuone kama yeye yupo perfect na ww ni mkosaji sn. Moyo wa mtu ni kichaka, na kuwalinda hawa watu ni kazi mno. Si unajua ile hata akipewa John mchana, inaoshwa inakuwa mpya kbs na jioni unapewa vizur tu. Hahahaha
 
ngoja waduwanzi watakuchana freestyle hpo... especially wenye hzo tabia za kukuwekea pichu kwenye begi la job.
 
Tena kuna trend vijana siku hiz eti ana mchepuko jimama limemzidi umri hata miaka 20 lakini yumo tu. Vijana mnajizeesha mapema, huyo ajuza unajichosha tu, tafuta/tulia na msichana mwenye unaokaribiana na wewe mufurahie uumbaji.
cc. Wachafu Classic.
 
Aisee! We mshenzi (nimekusifu) umetiririka ukweli mtupu. Inabidi uwe na roho ya kiume, ukizembea michepuko inaharibu.
 
Wasiwasi ndio akili
 
Michepuko inakua na wivu(feki) kuliko mke home.
Nimeoa jmosi na line ya simu nime badilisha mchepuko unanitafta kwa washkaji na wife anani force nirudishe line ya zamani hapo ndo vita nimegoma kabisa na wife ni Mzungu naogopa niliweka line ishu hadharani mchepuko ni sumu
 
Nimeoa jmosi na line ya simu nime badilisha mchepuko unanitafta kwa washkaji na wife anani force nirudishe line ya zamani hapo ndo vita nimegoma kabisa na wife ni Mzungu naogopa niliweka line ishu hadharani mchepuko ni sumu
Kaka nikupongeze kwa uamuzi sahihi wa kuoa na kuachana na michepuko. Sasa jenga familia kwa nguvu zote.
 
Michepuko sio wandugu. Hawajawahi kuwa wema toka kuumbwa kwa ulimwengu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…