Wanaume tuwe makini na wachungaji

Wanaume tuwe makini na wachungaji

Kwa issue hii,Gwajima atawakosa waumini Wake wengi kwani matendo yake hayatoi nafasi kwa waumini kuendelea kumuamini Tena.

Njoo jionee mwenyewe nipo viwanja vya Tanganyika Packers utadhani leo Yesu anarudi kulivyoshonana!
Hii kashfa imemuongezea umaarufu Mtumishi wa Mungu!
Hamna hata pa kuweka mguu lol!
 
Aisee bahati mbaya Kitabu chetu hakifundishi uzinzi! labda upande wale wa upande wa pili wa jino kwa jino!
Kitabu chenu kinafundisha haya
Wanaume kwa wanaume
 

Attachments

  • 1402215524456.jpg
    1402215524456.jpg
    23.5 KB · Views: 267
Mambo haya ata hapa JF yamo tabia ya babu Asprin kukagua kila ke nayo tuikemee kwa jina la Emmanuel. Amen.

Hahahahah ahahahahaha hahahahaha duh!
 
Last edited by a moderator:
UJINGA KAMA HUU UKIENDELEA KUPOSTIWA HUMU PATAKUA PA KWANZA KULETA VITA YA KIDINI Invisible
 
Last edited by a moderator:
dawa ya hao wachungaji ni kuwabanduaa wake zao hadi watoto wao maana wamezidi

Wewe kumbe unasemea mimi tayari nimeshambandua ndugu mmoja wa damu wa mchungaji na nimeshambandua mtoto wake wake mmoja na sasa namsubiri mwingine akue nimbandue......dawa ya moto ni moto
 
nyie kweli mmeishiwa. yani inawauma kweli mchungaji kula kondoo wake ulitaka ale nini
 
Mzinzi ni mzinzi; Mwasherati ni mwasherati;Mfiraji ni mfiraji; Mlawiti ni mlawiti bila kujali ana cheo kipi;NI MOTONI !
 
KWELI NYIE VIPOFU HAYA MAANDIKO WACHUNGAJI HUYAFICHA AU!
ISAYA 56: 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana
maarifa; wote ni mbwa walio bubu,
hawawezi kulia; huota ndoto, hulala,
hupenda usingizi.
11 Naam, mbwa hao wana choyo sana,
hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji
wasioweza kufahamu neno; wote pia
wamegeuka upande, wazifuate njia zao
wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka
pande zote.
 
ngoja tusubiri, itakapopitishwa sheria ya ushoga, ibada itakua hatariii.
 
Biblia inasema "Chunguzeni sana mwisho wa mwenendo wao, [wachungaji;mitume;manabii; .....] iigeni imani yao" {EBR 13:7}.
 
Yaani wewe umepishana maelezo na mkeo ndani mkasuruhishwe na mchungaji?!!!...mimi huwa naamini kitu chochote tunachoshindwa kukitatua au kifikia muafaka tukiwa wawili wahusika wakuu BASI HAKUNA MUAFAKA WA KWELI, hata kama tutaenda kwa wazazi tutakubaliana kwa heshima yao tu lakin moyoni kila mtu atabaki na lake! MAPENZI NI YA WAWILI TU, WA TATU NI MBEYA!
 
Back
Top Bottom