Wanaume tuwasaidie kazi wapenzi au wake zetu

fantastic philip

Senior Member
Oct 17, 2015
194
680
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa (R.E. 2019) kifungu cha 63, mume anatakiwa kumtunza mke wake kwa kuhakikisha anatafuta kipato na pia anamtunza vizuri nyumbani kwa kuhakikisha mke ameishi mahala pazuri na safi, kwakuhakikisha mke amepata chakula na sio vitu vya kupika, na pia kuhakikisha mke ana mavazi, yaani nguo zilizo tayari kuvaliwa.

Katika kuhakikisha hayo yanatimia, maana yake mume anatakiwa kuleta chakula kilichopikwa au kupika mwenyewe, mume anatakiwa kuhakikisha nyumba ni safi na inafaa kuishi, na pia mume anatakiwa kuhakikisha nguo za mke zimefuliwa. Sheria haijaeleza kwamba mke ana wajibu wa kupika, kusafisha nyumba, au kufua au kufanya kazi yoyote ya nyumbani.

Wajibu huo ni wa mwanaume, na kama mwanaume anaona amebanwa na majukumu basi anatakiwa kuajiri watu wa kufanya kazi hizo nyumbani kwaajili ya mke wake.

Hivyo basi dhana iliyozoeleka kwamba mwanamke ana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani SIO KWELI kwa mujibu wa sheria.

Kutoka kwa @sheria.za.tanzania

Tuandikie maoni yako hapa

 
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa (R.E. 2019) kifungu cha 63, mume anatakiwa kumtunza mke wake kwa kuhakikisha anatafuta kipato na pia anamtunza vizuri nyumbani kwa kuhakikisha mke ameishi mahala pazuri na safi, kwakuhakikisha mke amepata chakula na sio vitu vya kupika, na pia kuhakikisha mke ana mavazi, yaani nguo zilizo tayari kuvaliwa.

Katika kuhakikisha hayo yanatimia, maana yake mume anatakiwa kuleta chakula kilichopikwa au kupika mwenyewe, mume anatakiwa kuhakikisha nyumba ni safi na inafaa kuishi, na pia mume anatakiwa kuhakikisha nguo za mke zimefuliwa. Sheria haijaeleza kwamba mke ana wajibu wa kupika, kusafisha nyumba, au kufua au kufanya kazi yoyote ya nyumbani.

Wajibu huo ni wa mwanaume, na kama mwanaume anaona amebanwa na majukumu basi anatakiwa kuajiri watu wa kufanya kazi hizo nyumbani kwaajili ya mke wake.

Hivyo basi dhana iliyozoeleka kwamba mwanamke ana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani SIO KWELI kwa mujibu wa sheria.

Kutoka kwa @sheria.za.tanzania

Tuandikie maoni yako hapa

Anza kwanza wew kufanya hivo halfu utuletee mrejesho
 
Hua naona wadhungu kidogo wanafanya, sasa nahs ni utaratibu wao. Lakini kibongo bongo????? Jaribu uone! Hawa wa kwetu inabd iwe kwa coincidence tu, ukiweka huo utaratibu siku si nyingi utafanya kila kitu huku akiwa nje anatoa ulimi kwenye snapchat! Hopeless!!🤧
 
Mwanaume kufanya kazi za mwanamke ni matokeo ya limbwata tu.

Haiwezekani libaba kama Mimi na nianze kuchambua vichwa vya dagaa.

Kazi yangu kuwapa pesa wanunue mahitaji. ova
 
Katika kuhakikisha hayo yanatimia, maana yake mume anatakiwa kuleta chakula kilichopikwa au kupika mwenyewe, mume anatakiwa kuhakikisha nyumba ni safi na inafaa kuishi, na pia mume anatakiwa kuhakikisha nguo za mke zimefuliwa. Sheria haijaeleza kwamba mke ana wajibu wa kupika, kusafisha nyumba, au kufua au kufanya kazi yoyote ya nyumbani.

That is when The shit, hit the fan
 
Kusaidiana ni upendo sio shurti

Wanaume wenye upendo wa kweli na mapenzi ya haja kwa wake zao huwa hawaambiwi cha kufanya bali wanafanya hadi jamii inaandamana kuwa wamelogwa

Mbarikiwe wanaume wote mnajua wake zenu ni wasaidizi ila nyie ndio wenye majukumu yenu😍😍🙏
 
Tatizo la wanawake wa kibongo, ukiwa na izo character akazoea hawakawii kukupangia zamu yako
 
mwanaume akijua hadi bei ya kitunguu au karoti gengeni hainogi
 
Kwani Kuna kazi wanazofanya siku hizi huku nyumbani!?
Nguo hg
Deki hg
Chakula hg
Watoto kuwaandaa hg
Yeye anachojua kaolewa ni sex tu.
Na anajiona yuko sawa na bonge la mwanamke.
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa (R.E. 2019) kifungu cha 63, mume anatakiwa kumtunza mke wake kwa kuhakikisha anatafuta kipato na pia anamtunza vizuri nyumbani kwa kuhakikisha mke ameishi mahala pazuri na safi, kwakuhakikisha mke amepata chakula na sio vitu vya kupika, na pia kuhakikisha mke ana mavazi, yaani nguo zilizo tayari kuvaliwa.

Katika kuhakikisha hayo yanatimia, maana yake mume anatakiwa kuleta chakula kilichopikwa au kupika mwenyewe, mume anatakiwa kuhakikisha nyumba ni safi na inafaa kuishi, na pia mume anatakiwa kuhakikisha nguo za mke zimefuliwa. Sheria haijaeleza kwamba mke ana wajibu wa kupika, kusafisha nyumba, au kufua au kufanya kazi yoyote ya nyumbani.

Wajibu huo ni wa mwanaume, na kama mwanaume anaona amebanwa na majukumu basi anatakiwa kuajiri watu wa kufanya kazi hizo nyumbani kwaajili ya mke wake.

Hivyo basi dhana iliyozoeleka kwamba mwanamke ana wajibu wa kufanya kazi za nyumbani SIO KWELI kwa mujibu wa sheria.

Kutoka kwa @sheria.za.tanzania

Tuandikie maoni yako hapa

SHERIA imepitwaa na wakati, haina uhalisia
 
Back
Top Bottom