Na yeye ni mfanyakazi, somewhere alafu kazi yake inamuhitaji sana hawezi kutoa excuse za kijinga jinga akaeleweka labda achukue likizo, ishu inakuja je atachukua likizo mara ngapi?
Kuna wanawake wengine wanawashwa sana ,yani hii thread inahusika na wanaume, lakini wanawake wengine wakisikia tu wanaume lazima wajitokeze mbele.Ahaaaaa kazi ipo? Miezi mitatu kusastain unashindwa mbona mimi nina miaka mitatu?
Ni nini kinakuwezesha kuyashinda majaribu kwa siku moja? Wiki moja? Mwezi mmoja? kama unaweza kuvumilia kwa mwezi mmoja, nini kinashindikana kuendelea na miezi mingine?
Smile hapa wamekaribishwa wanaume tu.......endelea kujisomea no comment:eyebrows:
mmmh samahanini wakuutena asavali umemwambia! Mi nilikua namionea aibu ! Bora mwenzangu uso wa mbuzi , hujam'mungunyia umetomboka! Mbona kwenye mkaribisho wao pekee sie hatutii maguu ? Na tukiyatia usishangae tukaitwa majina kama choko, bwabwa with related matter.
Mwanaume mzima ovyoo kabisa, unaona raha kucheat. Dawa yako ipo jikoni Ukimwi unakusubiri. Kwa mwendo huu ukimwi hautaisha, namuonea huruma mkeo na watoto wako.
Mwanaume mzima ovyoo kabisa, unaona raha kucheat. Dawa yako ipo jikoni Ukimwi unakusubiri. Kwa mwendo huu ukimwi hautaisha, namuonea huruma mkeo na watoto wako.
Ahaaaaa kazi ipo? Miezi mitatu kusastain unashindwa mbona mimi nina miaka mitatu?
Naomba kujua ndege inayopiga ruti kati ya Mpanda na Dar
Alafu kaka inategemea jinsi mfuko wako unavyosoma, sasa leo mpandishe ndege aje akae siku mbili asepe, Alafu mara nyingine upelekwe chaka la Manyara likawa halisomi hesabu vizuri, mama anategemea utamrushia tiketi ikawa sivyo.! ndio ugomvi utakapoanzia hapo kwamba tayari una mwingine uko nae huko.
Jamaa anajua lakini ni fujo tuu, hivi kwa kipato gani mtu uwe unadandia pipa mara kwa mara kiasi hicho tena kwasababu za kifamilia?