Amon Bahati
Member
- Jul 31, 2018
- 58
- 46
nipe maana ya isaya 4/1 nikuelewe au unapiga kampen wa2 waoe wanawake wengi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha.....Lazy brain
Kupapasa
Not knowledgeable
Aisee unafikiri Bible imeandikwa kama lyric ya mziki wa darasa.... Rudia huohuo mstari wa wanawake saba soma vizuri utajua nn kimemaanishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akubariki. Utapata mume mwema, na wake wenza warembooo kukuzidi ili ukae kwenye foleni muda mrefu kungojea 'mdinyo'.
-Kaveli-

Upo sahihi kabisa kweli huko tunapoelekea wanawake watakua wengi sana kuliko wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
nipe maana ya isaya 4/1 nikuelewe au unapiga kampen wa2 waoe wanawake wengi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuelewa kwamba hakuna uhusiano kati ya dini na jina la mtu tena hilo ni jambo dogo sana majina yanatokana na utamaduni wa watu fulani mfano nenda middle east waweza kukuta hussein ni mkristuSoda yaweza kuwa packaged kwenye chumba ya Wine?
-Kaveli-
Huu ni uongo wa kupuuzwa. Kila mstari mnaoona unapingana na misimamo yenu mnajitahidi kuujengea tafsiri iwapendezayo!!! Hakuna fumbo hapo, huo ni ujumbe wa moja kwa moja. Wanazungumziwa viumbe wa kike na ndicho tunachoanza kuona...Wanaume (waoaji) wameanza kuwa adimu kiasi kwamba siku hizi si ajabu kusikia mwanamke anatafuta mwanaume walau wa kuzaa naye tu ye abaki na mtoto!!! Biblia haikuandikwa kizembe kama ufikiriavyo. Neno liko wazi.nimewai fundishwa maana ya hili andiko kwa kumbukumbu ni kwamba wanawake wanaozungumziwa apo si wanawake wa jinsia ya kike bari ni makanisa .
kwenye biblia mwanamke ametafsiliwa kama kanisa sasa basi tuludi kwenye mada .
Kuna nakanisa mengi yaabuduyo kwa jina la mungu ilihali hayatendi matendo yampasayo mungu.
ndio maana anasena watatokea wanawake Saba(makanisa) yakisema chakula na mavazi tujiudumie sisi ila tuitwe tu kwa jina lako .
nikwamba watumie jina la mwenyez mungu kuendesha ibada zao ili hali watajitafutie wenyewe mafundisho yao maana yake (chakula)
Sio mjuzi wa biblia ila nakumbuaka some hili nilifundishwa San kuhusu mfananisho wa mwanamke na Kanisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kuelewa kwamba hakuna uhusiano kati ya dini na jina la mtu tena hilo ni jambo dogo sana majina yanatokana na utamaduni wa watu fulani mfano nenda middle east waweza kukuta hussein ni mkristu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena mkuu, kunywa chochote nakuja kulipa.Tatizo la watu wanao jifanya kujua Sana Kiswahili cha biblia. Eti katika biblia neno mwanamke kina maana ya kanisa, acheni upumbavu huo. Lini katika kamusi gani kanisa na mwanamke likiwa neno moja? Alipo sema mwanamke atazaa kwa uchungu mbona hamsemi ni kanisa? Biblia inaukosefu wa maneno mpaka mwanamke iwe kanisa? Hili liko wazi kuwa tunatakiwa kujibebea mizigo Saba na zaidi kama Solomon. Acheni uongo, ndio maana mikanisa siku hizi kama vijiwe vya machinga kila kina vya uchwara tu.
yap yap nakuelewa mkuuHuu ni uongo wa kupuuzwa. Kila mstari mnaoona unapingana na misimamo yenu mnajitahidi kuujengea tafsiri iwapendezayo!!! Hakuna fumbo hapo, huo ni ujumbe wa moja kwa moja. Wanazungumziwa viumbe wa kike na ndicho tunachoanza kuona...Wanaume (waoaji) wameanza kuwa adimu kiasi kwamba siku hizi si ajabu kusikia mwanamke anatafuta mwanaume walau wa kuzaa naye tu ye abaki na mtoto!!! Biblia haikuandikwa kizembe kama ufikiriavyo. Neno liko wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uongo wa kupuuzwa. Kila mstari mnaoona unapingana na misimamo yenu mnajitahidi kuujengea tafsiri iwapendezayo!!! Hakuna fumbo hapo, huo ni ujumbe wa moja kwa moja. Wanazungumziwa viumbe wa kike na ndicho tunachoanza kuona...Wanaume (waoaji) wameanza kuwa adimu kiasi kwamba siku hizi si ajabu kusikia mwanamke anatafuta mwanaume walau wa kuzaa naye tu ye abaki na mtoto!!! Biblia haikuandikwa kizembe kama ufikiriavyo. Neno liko wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu wa Africa jina la Middle East uliza swali lingine nafikiri umeanza kuelewa japo kwa mbali sanaWewe ni mtu wa middle east?
-Kaveli-
Kwann unatumia neno mwanakondoo aliyepotea wakati wewe ni binadamu. Hapo nadhani utapata jibuAcha kukimbilia kwenye kimvuli cha eti 'nimeanza kashfa'. Don't complicate petty stuffs unreasonably. Spread the knowledge. Kama nawewe hujuwi, basi let's sail on the same boat.
BTW, assume kwamba mie kwa hiyo tafsiri yangu nimekuwa 'Mwanakondoo aliyepotea'... right? Ewe mkristo, maandiko yanakuagizaje kwa 'mwanakondoo aliyepotea' ?
-Kaveli-
Mtu wa Africa jina la Middle East uliza swali lingine nafikiri umeanza kuelewa japo kwa mbali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutonielewa inategemea na jinsi unavyoitumia akili yako nilikuuliza swali mtu akiitwa maneno atakuwa dini gani???Kwahiyo utamaduni wa Afrika ni sawa na wa middle east? Nielewe nini ilihali hakuna unachoelewesha?
-Kaveli-
Upo sahihi kabisa kweli huko tunapoelekea wanawake watakua wengi sana kuliko wanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app