Kama ungehitaj kuelekezwa ningekuelekeza ila kwakuwa unahitaji kashfa basi hakuna haja ya kukueleweshaBado hujanijibu hoja yangu... NI KWANINI BIBLE IANDIKWE KWA MAFUMBO KIASI HICHO? lengo kuu ni nini?
Eti MWANAMKE = KANISA ! Ujinga na uongo wa kiwango cha molamu.
-Kaveli-
Asante mkuu duh maana Watu tulianza kulegeza kamba tukihofia ilo andiko ngoja NW mkazo uendeleee....nimewai fundishwa maana ya hili andiko kwa kumbukumbu ni kwamba wanawake wanaozungumziwa apo si wanawake wa jinsia ya kike bari ni makanisa .
kwenye biblia mwanamke ametafsiliwa kama kanisa sasa basi tuludi kwenye mada .
Kuna nakanisa mengi yaabuduyo kwa jina la mungu ilihali hayatendi matendo yampasayo mungu.
ndio maana anasena watatokea wanawake Saba(makanisa) yakisema chakula na mavazi tujiudumie sisi ila tuitwe tu kwa jina lako .
nikwamba watumie jina la mwenyez mungu kuendesha ibada zao ili hali watajitafutie wenyewe mafundisho yao maana yake (chakula)
Sio mjuzi wa biblia ila nakumbuaka some hili nilifundishwa San kuhusu mfananisho wa mwanamke na Kanisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu za kiume zenyewe hamna mpaka mchuzi wa pweza hao wake 7 wote unataka uwachezee tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
jaribu kusoma ufunuo 1:4 inaelezea ayo makanisa SabaMmmh! Does not click...
Ni kwanini hayo makanisa yakawa limited kwenye 'SABA' ?
Na ni kwanini Biblia imeandikwa kwa mafumbo that much, lengo ni nini?
-Kaveli-
Mkuu inaonekana upo Single...😉... Yangu ni hayo tu-Kaveli-
Upo sahihi kabisa kweli huko tunapoelekea wanawake watakua wengi sana kuliko wanaume.Dada Lu, wakinishinda kuwadinya vizuri, hopefully nitasaidiwa tu. KUSAIDIANA is part of life. Ila mimi ninakuwa nimetimiza agizo la andiko 'kuwaondolea aibu'.
Sasa twende kwenye hoja ya msingi.... hilo andiko, nimetafsiri sahihi? ama nimetafsiri kimakengeza? Your views please, kwenye hilo andiko.
Kuna wachangiaji hapa wanasema eti hapo MWANAMKE inamaanisha KANISA. Mmmh hii kwa mie it does not click in my mind.
-Kaveli-
Kaveli mdogo wangu nilikua nachangamsha genge tu..lol mie ningependa niwe peke yangu..ila nikiletewa mwenzangu wala halitanisumbua...lol.....its good unasoma bible ,keep it up..
Kama ungehitaj kuelekezwa ningekuelekeza ila kwakuwa unahitaji kashfa basi hakuna haja ya kukuelewesha
Sent using Jamii Forums mobile app
kwel kaveli ilo swal lina utata nmeshindwa kumfafanulia ata mm
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaandika hata lugha mia ila kwangu hutajibiwaAcha kukimbilia kwenye kimvuli cha eti 'nimeanza kashfa'. Don't complicate petty stuffs unreasonably. Spread the knowledge. Kama nawewe hujuwi, basi let's sail on the same boat.
BTW, assume kwamba mie kwa hiyo tafsiri yangu nimekuwa 'Mwanakondoo aliyepotea'... right? Ewe mkristo, maandiko yanakuagizaje kwa 'mwanakondoo aliyepotea' ?
-Kaveli-
Asante mkuu duh maana Watu tulianza kulegeza kamba tukihofia ilo andiko ngoja NW mkazo uendeleee....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uhusiano gani kati ya jina la mtu na dini ya mtu???Mfano mtu akiitwa maneno atakuwa dini gani?Tangu lini HUSSEIN akawa na majibu kwenye masuala ya Bible? Relax mkuu. Let the siredi perish out of ur sight.
Asallaam Aleykum.
-Kaveli-