Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,467
- 9,007
Hivi Karibuni (nearly two weeks back) nimeanza kuwa 'nasoma soma' Biblia kimtindo ili tu kujifunza maandiko yanaagiza/yanasema nini. Ofkoz I am not knowledgeable na mambo za Maandiko, just to say 'napapasa' tu.
Leo nikawa nimechill geto. Wakati nafungua Biblia (Agano la Kale), mara paap nikakutana na ISAYA, SURA ya NNE ikinena yafuatayo... nanukuu:
''1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, utuondolee aibu yetu. ''
Baada ya kusoma maandiko hayo, my lazy brain ikapata tafsiri zifuatazo kimwendo-kasi:
1. Mwanaume kuoa wanawake wengi (hata mpaka wake saba) siyo jambo jipya chini ya jua. Biblia ishalinena na kulipa baraka zote. Tufanye utekelezaji;
2. Mwanamke hata kama ana uwezo binasfi wa kujilisha na kujivesha, asipoolewa ni AIBU kubwa kwake katika jamii;
3. Wanaume tuoe wake wengi kadri ya uwezo ili kuwaondolea AIBU hawa wenzetu. Tutabarikiwa.
===> Much respect kwa Serikali ya Kenya kwa kupitisha Sheria (mwaka 2014) ya kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi kadri ya uwezo. Naishauri na Serikali yetu makini ya Tanzania ilitazame hili kwa jicho la mwewe, azawaizi wanawake wengi watapata tabu sana!
===> Salute kwako dada Rebeca 83 kwa siredi yako pendwa: Wanawake turuhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja - JamiiForums . You touched the base.
Mara baada ya andiko hilo takatifu, sasa nafikiria kuanza kuongeza fiancee wa pili, na wa tatu ikibidi. Nitaoa mmoja baada ya mwingine respectively. My sincere anticipation Patience123 wangu you won't hesitate to give me a lovely permission in that regard as you're always patient and cool.
N.B: Wakati nasoma Biblia nilikuwa na akili za usiku. As such, endapo nimefanya tafsiri chongo, basi mniweke sawa.
God Bless the Women.
Asalaam Alleykum.
-Kaveli-
Leo nikawa nimechill geto. Wakati nafungua Biblia (Agano la Kale), mara paap nikakutana na ISAYA, SURA ya NNE ikinena yafuatayo... nanukuu:
''1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, tutakula chakula chetu na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako, utuondolee aibu yetu. ''
Baada ya kusoma maandiko hayo, my lazy brain ikapata tafsiri zifuatazo kimwendo-kasi:
1. Mwanaume kuoa wanawake wengi (hata mpaka wake saba) siyo jambo jipya chini ya jua. Biblia ishalinena na kulipa baraka zote. Tufanye utekelezaji;
2. Mwanamke hata kama ana uwezo binasfi wa kujilisha na kujivesha, asipoolewa ni AIBU kubwa kwake katika jamii;
3. Wanaume tuoe wake wengi kadri ya uwezo ili kuwaondolea AIBU hawa wenzetu. Tutabarikiwa.
===> Much respect kwa Serikali ya Kenya kwa kupitisha Sheria (mwaka 2014) ya kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi kadri ya uwezo. Naishauri na Serikali yetu makini ya Tanzania ilitazame hili kwa jicho la mwewe, azawaizi wanawake wengi watapata tabu sana!
===> Salute kwako dada Rebeca 83 kwa siredi yako pendwa: Wanawake turuhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja - JamiiForums . You touched the base.
Mara baada ya andiko hilo takatifu, sasa nafikiria kuanza kuongeza fiancee wa pili, na wa tatu ikibidi. Nitaoa mmoja baada ya mwingine respectively. My sincere anticipation Patience123 wangu you won't hesitate to give me a lovely permission in that regard as you're always patient and cool.
N.B: Wakati nasoma Biblia nilikuwa na akili za usiku. As such, endapo nimefanya tafsiri chongo, basi mniweke sawa.
God Bless the Women.
Asalaam Alleykum.
-Kaveli-