uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Hii nayo nikutoka twaweza?
Hata kama mtu akubaliani na mwendo huo anatakiwa atoe maoni yake juu ya mwendo na si kunyumbulisha neno ilimradi tuu kumkejeli mtoa mada. Yani akili za watu siku hizi zimekaa kingono ngono tuuNimeamini vilaza wengi humu now days, watu asilimia 90% wana toka nje ya maada Kisa mnyumbuliko wa neno fulani
Mwanaume utatembeaje kama kobe??Wacha kukariri kishamba,aliekwambia mwendo wa faster ndio utendaji bora wa kazi ni Nani??
Uje kufanya nini,nini umekisahau kwangu.Usishtuke kijana wala usihangaike,naja
Watu wa aina hii wanakuwa wana matumbo makubwaa halafu ni vijeba vifupi ambavyo vinakuwa na mapaja maneneee!Najua kuna ambao watabisha, lakini ukweli upo wazi, wanaume wanaotembea mwendo wa wastani na kujiamini njiani ndio huwa tunawavutia zaidi wanawake kuliko ninyi mnaotembea kwa kudunda kama kitenesi, na kasi ya ajabu kama mpo jogging inafika wakati mtu unatiririka jasho tu bila mpangilio Kisa kukimbilia kusikoeleweka.
Mwisho mnafanya dada zetu watutengenezee sredi nyingi humu kuwa wanaume tunatema Kwapa na uvungu.
Wazo la leo;
Mnamtanuliaga nani mkuuNajua kuna ambao watabisha, lakini ukweli upo wazi, wanaume wanaotembea mwendo wa wastani na kujiamini njiani ndio huwa tunawavutia zaidi wanawake kuliko ninyi mnaotembea kwa kudunda kama kitenesi, na kasi ya ajabu kama mpo jogging inafika wakati mtu unatiririka jasho tu bila mpangilio Kisa kukimbilia kusikoeleweka.
Mwisho mnafanya dada zetu watutengenezee sredi nyingi humu kuwa wanaume tunatema Kwapa na uvungu.
Wazo la leo;