Wanaume tunakwama wapi?

Wanaume tunakwama wapi?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,316
Reaction score
4,184
Hivi ndugu zangu wanaume tunakwama wapi? Mbona tunafanya mambo ya ajabu sana ambayo baadaye yanatughalimu sana.

- Hivi unawezaje kuoa mwanamke mwenye watoto huku ukijua kabisa wewe kipato chako ni kidogo hivyo huwezi kulea familial kubwa!

- Hivi unawezaje kusomesha mwanamke kwa nategemeo kwamba eti akimaliza chuo mtakuja kufanga ndoa. Kwanini unamwamini mwanamke kiasi hicho? Wenzako wameshalia sana kwa mtindo huo.

- Hivi unawezaje kumruhusu mkeo akafanye kazi kwa kisingizio eti siku hizi maisha ni kusaidiana! Ona sasa mabosi na wafanyakazi wenzake wanavyomfanya mkeo mpaka amejenga dharau sasa kwako.

- Hivi unashindwaje kuunganisha magori zaidi ya mawili kwa wakati mmoja kipindi cha kugegedana! Inamaana tumekuwa goigoi kiasi hiki?

- Hivi unaendaje kutongoza binti wa kifukara ikiwa na wewe mwenyewe ni fukara. Huoni kama unajitengenezea mazingira ya kusalitiwa. Tafuta hela kwanza kijana.

- Hivi unawezaje kuoa mke mzuri sana kiasi kwamba kila mahali akipita watu mate yanawatoka. Kwanini unapenda kujipa shida kiasi hicho. Oa mke wa wastani tu kijana acha sifa za ajabu.

- Hivi unashindwaje kumlidhisha mkeo katika tendo la ndoa kiasi kwamba unamsababishia atafute mchepuko! Pambana kijana.

- Hivi unawaza nini mpaka umtamani msichana wako wa kazi huku ukiwa na mke mzuri! Huu ni ushamba wa kiwango cha lami.

- Hivi unakubaliji kuwa na kibamia! Pambana bwana kwani mwanaume bila kibamia inawezekana.

Wazee hivi tunakwama wapi mbona tunatia aibu sana.
 
Write your reply...na nyingine naongezea


wanaume wa dar mnakwama wapi..




sent by my TECNO AMBER RUTTY AG 7 using jamiiforums
 
Kumbe mwanamke hatakiwi kufanya kazi 🤔🤔... ila hata akibaki nyumbani shamba boy anaweza kumpasua, kama ipo ipo tuu
 
Vijana mnahangaika sana..wakati mwingine natamani nivae viatu vyenu nione uhalisia wa haya mnayoita magumu..poleni sana vitunguu swaumu
 
Back
Top Bottom