Wanaume tunakufa na tai shingoni

Issue kubwa inatokana na jinsi mlivyoishi,
Mzee unajiweka kauzu, hutaki story na watoto, ghafla unazeeka unataka story nao, hio haiwezekani
Sio kujiweka kauzu ndivyo tilivyo kimaumbile. Mwanaume akiingia 30's kochwa kinakua na mambo mengi hapo usitarajie kama atakua na story nyingi au mbbo ya kichat chat.
 
Nakazia ujumbe wako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…