kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Asante sana mkuu nimeshapoa japo nina hasira na wanaume wa aina kama ya mzee wanguPole sana mkuu
Asante sana mkuu nimeshapoa japo nina hasira na wanaume wa aina kama ya mzee wanguPole sana mkuu
Utakuwa umeathirika kisaikolojia, Muombe Mungu akuondolee hiyo haliAsante sana mkuu nimeshapoa japo nina hasira na wanaume wa aina kama ya mzee wangu
Asante mkuu huwa ninafanya hivyoUtakuwa umeathirika kisaikolojia, Muombe Mungu akuondolee hiyo hali
Sio kujiweka kauzu ndivyo tilivyo kimaumbile. Mwanaume akiingia 30's kochwa kinakua na mambo mengi hapo usitarajie kama atakua na story nyingi au mbbo ya kichat chat.Issue kubwa inatokana na jinsi mlivyoishi,
Mzee unajiweka kauzu, hutaki story na watoto, ghafla unazeeka unataka story nao, hio haiwezekani
SawaAsante mkuu huwa ninafanya hivyo
Nakazia ujumbe wako mkuuSikuja duniani kuteseka mimi au kutesekea wengine.
Huu msemo wa wanaume tuliumbiwa mateso nilisha ukataa.
Watoto na mwanamke nitawajali kwa kiasi chao.
Lakini fungu kubwa, nguvu kubwa na jasho kubwa nimewekeza kwangu kwanza.
Kuwekeza nguvu kubwa kwa mke au watoto bila kujijaji wewe huo nao ni ujinga.
Watoto wakikua wataondoka kwangu nitabaki mwenyewe.
Sasa lazima ni enjoy jasho langu uzeeni kwa amani.
Watoto wataenda huko na wao watakuwa na maisha yao.