Tena kama umechoka ndio kabisaaaa fake ziko nyingi sana, na sio kwamba anae fake afiki anakuwa labda kashafika jamaa bado du linachimba madini hapo ukimsindikiza na fake moja akuuuu huyo anashuka mwenyewe. Narudia tena hasa wale utawasikia nimefika mara tano kumbe mara mbili tatu fake
Kwani hukioni kibutton cha thanks?Blackberry,Thanks for the reality.
LOVE making is an ART.Orgasms typically are archieved when the mating couples are well prepared:
Na maanisha muwe comfortable na mahali mnapofanyia,kuwepo na compatibility baina yenu, usafi pia unaongeza hisia na good fragencies kwenye room siyo mbaya,candle kidogo, na pia msiwe na mawazo.
Kwa hiyo kama hamtakuwa na baadhi ya vitu hivyo hapo juu ni lazima FAKE,FAKE ORGASMS ZITAKUWEPO NYINGI TUU.Ila sijawahi kushtukia fake orgasm bali huona tu baada ya orgasm kiumbe kaachooka na kausingizi kakubabaisha.
ahahahahahaaaaa....hivi ukimfanya mwenzio hadi ukamuumiza (kwa either kuwa na dudu kubwa kupita kiasi au kwa maandalizi mabovu hata asitokwe ute wa ukeni) kesho akapelekwa hospital inamaanisha kuwa "ulimfikisha kileleni?"....