Wanaume tumekwisha

Wanaume tumekwisha

Secret Star

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
1,829
Reaction score
1,999
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.

So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.

Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.

Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
 
Haya upande ndege na wewe uende swideni,
usisahau kuvaa dhera na wigi sawa eeh..
 
Hongera kwa kuwa na mchumba na mtoto waliopo Sweden...
 
Ama kweli kuna watu hawajajaliwa kabisa kuelewa kwa mifano!...wewe hapo kwa akili yako ya kawaida haujang'amua kitu kabisa?!!



..........., ha hahahaha! .......mchumba......anafanya mapenzi na mbwa!!!!
 
Wanaume tuko juu na tunathaminiwa sana duniani. Sema mchumba wako alikuwa anakupa ujumbe kuwa yeye anathmini mtoto wake na mbwa kuliko anavyokuthamini wewe. Ndugu kusoma umeshindwa hata picha huoni?
 
Basi kama umekosa kundi la kwanza na la pili kubali kua kundi la tatu uwe sawa na mbwa.
 
Kuna vile vijibwa vidogo vya aina ya Chihuahua, wenyewe wavipenda sana saa zote wanaviweka mapajani, wakitambea wanavibeba ubavuni karibu na matiti na usiku wanalala navyo.
Sasa bwana mdogo Secret Star fanya mpango wa kupima DNA ya mtoto, ujue kati yako na mbwa nani baba wa ukweli, isije ikawa umeuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
amekutukana mkeo afu watuletea sisi, pole ndg.
 
..........., ha hahahaha! .......mchumba......anafanya mapenzi na mbwa!!!!

si bora angekuwa anafanya mapenzi na mbwa!..keshamchoka huyo hamtaki, mwanamke hawezi kukwambia hivyo hata siku moja!
 
Kabla hujawa baba ,ulikuwa mtoto then ulithaminika now umekuwa baba mwenye kutoa uthaman kwa hivyo vyote usifadhaike sana au kama VP red utoton au use mwanamke
 
Hahahah....umeona eeh! Maana mantiki ya thread sijaielewa binafsi..

Hujaelewa ni ni jamaa keshapigwa kibuti anaethaminiwa wa tatu ni dog yeye hana nafasi lol na ndio maana wazee wa enzi hizo kuowana mpaka mchunguzane kwanza magonjwa , tabia, utamaduni sio siku hizi hata akiibuka mtasha huko kwa o wanazo tamaduni za kuzimu sie tunaingia kichwakichwa kisa wa ngambo ndio matokeo yake sasa hayo.
 
Back
Top Bottom