Wanaume tumekwisha

Wanaume tumekwisha

Kuna vile vijibwa vidogo vya aina ya Chihuahua, wenyewe wavipenda sana saa zote wanaviweka mapajani, wakitambea wanavibeba ubavuni karibu na matiti na usiku wanalala navyo.
Sasa bwana mdogo Secret Star fanya mpango wa kupima DNA ya mtoto, ujue kati yako na mbwa nani baba wa ukweli, isije ikawa umeuziwa mbuzi kwenye gunia.

eebwanae! tule tumbwa tudogo tunapendwa sana na akinamama wakizungu kumbe huwa wakikaa tunawapa raha kwakulambalamba papuchi zao ndo maana wavithamini sana.
 
Hilo halina tatizo, inategemeana na utamaduni na mila husika, kama mchumba wako ni M-Sweden ni kweli huo ni utamaduni wao, tena hata ofisi na vyeo vikubwa vimeshikwa na wamama na sheria zao Jinsia zinawalinda, lakini kama ni M-bongo kaenda shule, akirudi mwambie huo utamaduni ubaki huko huko, Bongo Mume na mtoto wakilia anatulizwa mume kwanza, maana mume akitulia hata huyo mama na mtoto watatunzwa vizuri. Mume asipotulizwa mchepuka ukimdaka, mama na mtoto watasaga meno.
 
Kabla hujawa baba ,ulikuwa mtoto then ulithaminika now umekuwa baba mwenye kutoa uthaman kwa hivyo vyote usifadhaike sana au kama VP red utoton au use mwanamke
At least umemtia moyo nadhani hata kula amekula sasa
 
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.

So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.

Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.

Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
Sasa mkuu unataka sisi tukusaidie namna gani? Umeiona Jf ndo mahakama ya kuleta mashitaka ya kutukanwa na mkeo/mchumba wako? Pole sana ila kweli inauma, kutukanwa namna hiyo siyo njema kweli, yaani unazidiwa na mbwa? Kwa maana nyingine mchumba wako anapata mkong'oto wa haja kutoka kwa mbwa, kuliko ule wa kwako!! SHIKAMOO MBWA!!
 
Sio kama katukanwa na mkewe ila ndio uhalisia ulivyo huko ughaibuni
Sasa mkuu unataka sisi tukusaidie namna gani? Umeiona Jf ndo mahakama ya kuleta mashitaka ya kutukanwa na mkeo/mchumba wako? Pole sana ila kweli inauma, kutukanwa namna hiyo siyo njema kweli, yaani unazidiwa na mbwa? Kwa maana nyingine mchumba wako anapata mkong'oto wa haja kutoka kwa mbwa, kuliko ule wa kwako!! SHIKAMOO MBWA!!
 
Usilie mtoto wa Kiume, na wewe mjibu " Huku Tanganyika wa Kwanza ni Baba, wa pili ni mtoto na watatu ni Ng`ombe" Ngoma itakuwa sare tasa yaani bila kufungana.
 
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.

So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.

Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.

Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.

Nikuulize swali,
Huyo mbwa wake ni jike au dume?
 
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.

So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.

Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.

Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.

Hapana, wanaume wote hatujakwisha, labda wewe tu maana aliyeambiwa ni wewe peke yako na si wanaume wote duniani.
 
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.

So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.

Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.

Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
Muulize mkeo amefuga Mbwa wangapi!!??, kama anafuga Mbwa ujue baadhi ya majukumu yako yanafanywa na huyo/hao Mbwa, kwa hiyo huthaminiwi tena
 
Ukitoka humu kamuulize tena baada ya mbwa nini kinafuata kwa kuthaminiwa, hautakuwemo hapo pia... Itakuwa ni choo. huna lako kwa wasweden, tafuta mke mwingine.
 
si bora angekuwa anafanya mapenzi na mbwa!..keshamchoka huyo hamtaki, mwanamke hawezi kukwambia hivyo hata siku moja!

Kabsaaaaaaaaa, mfafanulie tu mkuu kwamba bora mbwa kuliko yeye, nimuulize swali je anawajibika kama baba? maana utajisifia mke yupo sweden kumbe hujui anakula nini anaishi vp na hilo ndio jibu lako toka kwa mkeo.
 
Back
Top Bottom