Wanaume tumekosa udhibiti ndani ya nyumba

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,917
11,799
Sijui nini kimetusibu wanaume hadi kushindwa kudhibiti ndoa zetu, tunaendeshwa kama magari mabovu, wanawake wametupanda kichwani.

Imefika sehemu wanaume hatuna sauti tena ndani nyumba tunapelekeshwa pelekeshwa tu, kifupi wanaume wengi wapo kama makomandoo.

Hivi tatizo ni limbwata au tumelogwa? Yaani inafika sehemu mwanamke anakupangia matumizi ya pesa yako, usimsaidie hata mama yako.
 
Sijui nini kimetusibu wanaume hadi kushindwa kudhibiti ndoa zetu, tunaendeshwa kama magari mabovu, wanawake wametupanda kichwani. Imefika sehemu wanaume hatuna sauti tena ndani nyumba tunapelekeshwa pelekeshwa tu, kifupi wanaume wengi wapo kama makomandoo.
Hivi tatizo ni limbwata au tumelogwa? Yaani inafika sehemu mwanamke anakupangia matumizi ya pesa yako, usimsaidie hata mamako.
Mambo ya ndani kwako unatuletea huku jamvini kwanini Mkuu?Gangamaa ujinasue na usi-generalize kwa wanaume wengine,sema sijui nini kimekusibu sio nini kimetusibu.!!!!
 
Sijui nini kimetusibu wanaume hadi kushindwa kudhibiti ndoa zetu, tunaendeshwa kama magari mabovu, wanawake wametupanda kichwani. Imefika sehemu wanaume hatuna sauti tena ndani nyumba tunapelekeshwa pelekeshwa tu, kifupi wanaume wengi wapo kama makomandoo.
Hivi tatizo ni limbwata au tumelogwa? Yaani inafika sehemu mwanamke anakupangia matumizi ya pesa yako, usimsaidie hata mamako.
si wanaume wako kama unavyosema kaka mkubwa
ukiona mwanamke anakuzingua bas ujue wewe ndio boyaa hapo
 
Sijui nini kimetusibu wanaume hadi kushindwa kudhibiti ndoa zetu, tunaendeshwa kama magari mabovu, wanawake wametupanda kichwani. Imefika sehemu wanaume hatuna sauti tena ndani nyumba tunapelekeshwa pelekeshwa tu, kifupi wanaume wengi wapo kama makomandoo.
Hivi tatizo ni limbwata au tumelogwa? Yaani inafika sehemu mwanamke anakupangia matumizi ya pesa yako, usimsaidie hata mamako.
Wanawake wa sasa hivi wala hawapo hivyo sijui kulogwa sijui limbwata mwanaume unajiloga mwenyewe, wanawake wanatengeneza mazingira yakuwa huru atahakikisha unamwamini asilimia zoteee mapicha picha yote ya kichina anayakwepa unabaki mama hela hii hapa au kujua ratiba zako kama tracking device hapo ushajiloga mkuu.
 
Sijui nini kimetusibu wanaume hadi kushindwa kudhibiti ndoa zetu, tunaendeshwa kama magari mabovu, wanawake wametupanda kichwani. Imefika sehemu wanaume hatuna sauti tena ndani nyumba tunapelekeshwa pelekeshwa tu, kifupi wanaume wengi wapo kama makomandoo.
Hivi tatizo ni limbwata au tumelogwa? Yaani inafika sehemu mwanamke anakupangia matumizi ya pesa yako, usimsaidie hata mamako.

Usilazimshe Tatizo lako kulifanya Tatizo la Wote!

Mie ni Mwafrica na ninaishi Ki Africa hayo Masuala ya kupandana kichwani na Mwanamke nayasikia kwny Mitandao tu!

Ukiona Mwanamke au Mtoto wako anakudharau jua Wewe ndie MWenye makosa kukubali ubwege huo
 
Usilazimshe Tatizo lako kulifanya Tatizo la Wote!

Mie ni Mwafrica na ninaishi Ki Africa hayo Masuala ya kupandana kichwani na Mwanamke nayasikia kwny Mitandao tu!

Ukiona Mwanamke au Mtoto wako anakudharau jua Wewe ndie MWenye makosa kukubali ubwege huo
Atakuwa ameelewa ndio maana amepotea,alitaka jambo hili kulifanya la wanaume wote/wengine kumbe la ndani kwake ili apate mawazo.Hili tatizo lipo sana kwa baadhi ya njemba mojawapo mleta uzi,tafakari na chukua hatua,acha kupelekeshwa tena ukute mamsap wako ni mama wa nyumbani na wana uwezo mkubwa wa kuwapanda wanaume kisogoni/wasiojielewa.
 
Hakuna alowaroga, mmejiroga wenyewe kwa kuondokewa na ile sifa ya UANAUME, mwanaume huwezi mkuta analalamikia hayo maana anaitambua na kuitendea haki nafasi yake and others respects that.
 
Mwanaume ni kama simba ndani ya nyumba, anapotoa sauti watu wote hutetemeka kwa hofu.
Tatizo kutwa mnashinda na wakezenu mnasikiliza taarabu pamoja, alafu baadae uje umpe kauli unadhani itamteteresha?
 
Ilo tatizo liko sana, Hivi ww mwanaume mke anakupandaje kichwani mpk unamsahau mama yako akiyekuleta duniani aliyekulea mpk ukafika kumpata uyo mke wako? Km mkeo hataki umsaidie mama yk mzazi unazani ni mke uyo? Mama ni zaidi ya mkeo ananafasi kubwa sana ktk maisha yako.
 
Nafikiri wanaume wa namna hiyo ni wale wasiotekeleza Roles zao sawa sawa. Imagine mwanamke ndiye ana Provide ndani What do you expect? ?
 
Mambo ya ndani kwako unatuletea huku jamvini kwanini Mkuu?Gangamaa ujinasue na usi-generalize kwa wanaume wengine,sema sijui nini kimekusibu sio nini kimetusibu.!!!!
Unazungumzia matatzo yako halaf unajumuisha na wengine...kama nyumba yako imekushinda hama
Sema ww, co wanaume wote mkuu
Mpaka umeandika uzi kweli umetingwa
Usilazimshe Tatizo lako kulifanya Tatizo la Wote!

Mie ni Mwafrica na ninaishi Ki Africa hayo Masuala ya kupandana kichwani na Mwanamke nayasikia kwny Mitandao tu!

Ukiona Mwanamke au Mtoto wako anakudharau jua Wewe ndie MWenye makosa kukubali ubwege huo
Kama ingelikuwa ndoa yangu ipo hivyo, nisingelikuja kuandika uzi huu hapa ningelifanya maamuzi kitambo,nazungumza na nyie wanaume ambao mmeshindwa kucontrol ndoa zenu hadi kufikia kupangiwa kila kitu na wanawake, tena wengi wenu (mkiwemo nyie) mnajifanya vidume sana mkiwa nje.
 
Kama ingelikuwa ndoa yangu ipo hivyo, nisingelikuja kuandika uzi huu hapa ningelifanya maamuzi kitambo,nazungumza na nyie wanaume ambao mmeshindwa kucontrol ndoa zenu hadi kufikia kupangiwa kila kitu na wanawake, tena wengi wenu (mkiwemo nyie) mnajifanya vidume sana mkiwa nje.
Ww ndio umeshindwa kucontrol ndoa yako umeanza kuja kutafuta faraja humu
 
Kama ingelikuwa ndoa yangu ipo hivyo, nisingelikuja kuandika uzi huu hapa ningelifanya maamuzi kitambo,nazungumza na nyie wanaume ambao mmeshindwa kucontrol ndoa zenu hadi kufikia kupangiwa kila kitu na wanawake, tena wengi wenu (mkiwemo nyie) mnajifanya vidume sana mkiwa nje.
Sasa wewe umetuona wapi kuwa tumeshindwa kucontrol ndoa zetu na tunapangiwa matumizi kama hutumii reference ya ndoa yako alafu unadhani na wengine ni hvyohvyo
 
Kama ingelikuwa ndoa yangu ipo hivyo, nisingelikuja kuandika uzi huu hapa ningelifanya maamuzi kitambo,nazungumza na nyie wanaume ambao mmeshindwa kucontrol ndoa zenu hadi kufikia kupangiwa kila kitu na wanawake, tena wengi wenu (mkiwemo nyie) mnajifanya vidume sana mkiwa nje.
Wewe acha masihara,wanaume hawa waliokujibu hawana utoto wa kukaliwa visogoni na wake zao,usilazimishe ndio iwe siyo na siyo iwe ndiyo.Tumekushauri uchukue hatua hutaki,halafu mamasap huyo usimpe hela yako yote akae nayo yeye,atapata akili na kukuheshimu.Hutaki,sasa sisi wanaume wenzako tunasema unatuangusha sana.Mfungulie kagenge ka kuuza nyanya ili upumue na kuwa huru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom