Wanaume tuko wapi?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,692
Reaction score
14,078
Kuna kila viashiria kwamba nafasi yetu ya UANAUME imepokwa...hasa na mifumo ya sasa ya Dunia.
Kina mama waliotengenezwa na Beijing 1995 wameleta balaa.
Wanaume najua mnanielewa, mauti imepanda kuuwa uzao wa kiume.
Wanaume hatuna sehemu ya kutolea sumu.
 
wanaume kamili, wanaume suruali, wanaume wa mikoani au wanaume wa Dar?🐒
 
ipo vizuri tu
ni ku KATAA NDOA

NDOA NI SUMU KWA MWANAUME
Ndio kufanikiwa kwa mpango wao...mwanaume usipokuwa na familia....uzao wa kiume unapotea...wanaume wanaoa kumbe na wao wameolewa...balaaa
 
Ndio kufanikiwa kwa mpango wao...mwanaume usipokuwa na familia....uzao wa kiume unapotea...wanaume wanaoa kumbe na wao wameolewa...balaaa
hao wake zenu wanawaua taratib bila nyie kujua
Lowassa, Mwinyi, Magufuli, Mkapa, Nyerere wake zao bado wanadunda, wao wako futi 6 chini
ME amkeni, mnapigwa sana
 
ipo vizuri tu
ni ku KATAA NDOA

NDOA NI SUMU KWA MWANAUME
Endelea na kampeni yako yakukataa ndoa muda sio mrefu utaenda kukutana na aliyeziumba jinsia zote mbili na aliye amrisha watu kuoana, andaa majibu sahihi
 
Ukijifanya kukaza sana mkuu utaumia!
 
amrisha watu kuoana, andaa majibu sahihi
Nani kaamrisha watu koana kama siyo hao wajinga wajinga mnaowasujudia ?
"Muende mkazaliane" na siyo kununuana kama bidhaa na kufugana kama misukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…