Wanaume tubadilike

Wanaume tubadilike

Ila mwanangu yawe ni MAHARI kama ni hivo wacha waje tu

sawa baba watakuja... baba usiseme kwa mama lakini kwanza baba unakumbuka ile siku usiku we na mama ulisema kuwa mahari kubwa kwa mwanao ni upendo ukiwa na maana kijana anipende kwa dhati na ndo kitu kizuri ... ila baba mimi nataka watoe hela nyingi
 
natania...huwa sinaniii kweli... si unajua mi mwenyewe nagonga uchumi..unadhani ntakuwa na poor allocation of resources?

No i keep your words you talk serious always remember the guy I told you that he was aproaching me, am gonna do it.
 
Mkuu wewe unafana na umukagame

Tofauti wewe ni jinsia ya upande wa pili.

Vipi warembo wawili uliokuwa unawafukuzia wamekupiga chini nini?!
 
Last edited by a moderator:
sawa baba watakuja... baba usiseme kwa mama lakini kwanza baba unakumbuka ile siku usiku we na mama ulisema kuwa mahari kubwa kwa mwanao ni upendo ukiwa na maana kijana anipende kwa dhati na ndo kitu kizuri ... ila baba mimi nataka watoe hela nyingi

Sisi tunamjua mzuri kwako mwanangu
 
Back
Top Bottom