sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Last edited by a moderator:
tatizo watu wengi wanajua sadaka ni peda tu....hata material things ni sadaka,.,moyo wa huruma na upendo nayo ni sadaka..kwa kuwa huwezi kumfanyia mtu jambo jema mpaka uwe na huo moyo...