Wanaume tabia hii vipi?

Mkuu ni mkeo huyo kaja kukushitaki huku, tulia nyumbani umbebe dogo
 
Valentina njoo nikuoe!
 
Maandalizi ya ndoa yananzia kwenye uchumba,kama ukumjua mme wako vzuri kwenye uchumba ni nini anapenda na nini apendi ni kosa lako.
 
Hahaa unakazi? Kama huna na yeye ndo anaelisha familiaa we tulia tuu sababu yawezekana alikuoa kwa sababu hyo
 
Labda nikuulize Dada yangu,,wakati wa ujauzito je ilikuaje? Alikua Karib na wewe?? SBU tutapata njia ya kujua tatz lake kunzia ujauzito wako
 
Ngoja umalize kulea atatulia mm mwenyewe sipendi kukaa na mtoto.na mama mzazi anakuwa na shombo ya mziwa may be haipendi.
 
Huyo ni mvulana,,, kaa nae taratibu atabadilika. Akija tu mpe mwanae kwa upendo,,, huku unamwimbia dady dadiii,,,,,
 
wanaume ni wabinafsi sana ,wana roho mbaya kuloko shetani lea tu mwanao mamy ishi nae tu maisha yaende
Mh...kama wanaume wakiwa na roho mbaya kuliko shetani....basi wanawake mtakua na roho mbaya kuliko hata mungu mwenyewe.
 
Lea mtt mama acha wivu mama...jamaa hataki aanze kukupiga dudu mtt bado mdogo.

Tafuta beki 3 au ndg aje kukupa kampani
Akitafuta beki 3 utakuta jamaa amepunguza outings... Bora tuu abaki mwenyewe tuu
 
Vibinti vya sasa hivi ovyo kabsa!hawana ustaumilivu ktk ndoa zao.garasa!
 
Kubeba mtoto ni jukumu la asili kwa mwanamke na wala nikimbeba sio kuonesha mapenzi kwa mke, ttzo wanawake wanajisahau ukiruhusu kubeba tu na zamu ya kubadili pampas utapewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…