Poleni, ila na nyie muache kujilengeshaLindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.
Ukianza kufanya zinaa na matokeo uyakubali bila kulalamika.
Ushauri kwako kama mama, au kwa wote wanaokumbana na tatizo kama hilo.
Mtoto ni jukumu kubwa, kwa hiyo hata msichana/mwanamke, kama hana hakika kama anaweza kumlea mtoto hata akiwa peke yake, basi inafaa "aibane". Katu asijiwache tu kwa kufikiria kuwa baba atamshughulikia mtoto kwa kuepusha tatizo kama hilo. Kuna mababa ni wakorofi, hao wanajulikana na ni wa kuepukwa kama UKIMWI, lakini pia kuna na mengine tusiyoyatarajia kama vile kufariki kwa huyu baba. Tuseme imetokezea hili la mwisho, nawe hukujitayarisha kukabili ulezi, ungelifanyaje?
<br />Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?<br />
<br />
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?<br />
<br />
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!<br />
<br />
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
Lindi la wanaume kukataa watoto na wengine kuwatelekeza linazidi kuchukua chat,tatizo lenu nini hasa? Kama hujawa tayari si uache kuliko kutelekeza mama na mtoto?
Inaumaaaaaaaaaaaaa.
in red, sema hamkuwa tayari yaani wewe na mwenzako!!kosa lenu mnaumiza watoto....unatakiwa ujue kuwa huwa hakuna majaribio kwenye kale kamchezo, lazima kataleta matokeo (mtoto) ambayo yanakupasua kichwa sasa!!next time ujipange
pole sana BINTI77
<br />
<br />
kuna wababa wanawakataa watoto wao ingawa wamezaliwa ndani ya ndoa. Hilo nalo utasemaje?
Hapo in blue pamoja na kusema it plays part.... nafikiri hapa Binti yupo more interested na wale wa kukataa mimba moja kwa moja... no matter harusi iwepo ama isiwepo... wangapi wamezaa na watoto wanatunzwa na baba zao but hawajaoana na the woman in question.... Ni wengi....
Hio in red... Inategemea.. mambo mengi saana... huyo alopewa mimba ana umri gani for instance... IMO kama ni 21 and below... wa kulaumiwa ni mkaka.. wanaume hapa inatakiwa awe more responsible (thou pia mdada) kumprotect huyo binti kuto pata mimba hasa kama anajua hawana mpango wa kuoana yet... has ukizingatia umri huo wanawake na young and naive..... Kama mwanamke ana lest say 25... IMO hapaswi kushika mimba bila makubaliana ya yeye na Mpenzi wake, for iyo ni age ambayo unajua kabisa SEX yaweza tumika kama starehe ama kupata mtoto... Hapo ukipata mimba... kama the guy atakataa kua ataki kuhusika, huwezi mlaumu saaana, thou kwa a good guy aki acknowledge... that is well and good...
Kwa kuongezea... hii mada kupata jibu Mtambuzi please leave wazazi out of it! Mie najua mwanaume wa kweli awe maskini ama tajiri kama anataka mtoto wake he FIGHTS!!!
Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
<br />
<br />
faiza kuna wababa wanawakataa watoto wao ingawa wamezaliwa ndani ya ndoa. Hilo nalo utasemaje?
<br /><br /><br />
<br /><br />
faiza kuna wababa wanawakataa watoto wao ingawa wamezaliwa ndani ya ndoa. Hilo nalo utasemaje?
Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
<br />Ulivyomfungulia kufuli ulitaka afanye nini? wakujichunga na kujilinda ni wewe mwenye mali na sio mla mali. Kwa hili nawatetea wanaume. Ukijirahisisha wao wanafanya, kwani mzigo wanabeba wao?<br />
<br />
Mkome kuwafungulia kufuli zenu mpaka watakapo waoa. la sivyo msije kulalamika hapa JF au kwingine kokote ni ukware wenu wenyewe uliowafikisha huko. Mbona sie tumejichunga na hatuna hayo matatizo ya kijinga?<br />
<br />
Kama wamekubaka na kukuingilia kwa nguvu hicho ni kitu kingine, lakini kama ulienda mwenyeeeewe?, khaaa unanchekesha!<br />
<br />
Tena bahati yako kama ni mimba tu, suki nyingine ni mimba na mdudu (HIV) juu. Hapo ndipo uje kulalamika vizuri. Hivi huwa mnategemea nini mnapo funguwa hivyo vikufuli vyenu? Tena wala si kufuli, hivyo vi kanda-mbili vyenu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Mnapoteza muda FF ni dume, tena ustadhi dizaini ile ya kuwapa mimba binti wasomao madrasa!