kupenda urahisi wa maisha kunawapoteza vijana wengi, na wengi wanajikuta wakidhalilishwa kwa kukosa sauti ndani ya nyumba kwa kupenda kwao mtelemko wa maisha.
Mie wapo humu jf nataka niwaoe.....wanajijua
Mkuu wanaume wa aina hiyo nawajua sana, huwa hawana uhuru wa kujiamulia mambo. Kuna dada mmoja anaishi na aina ya mwanaume uliyemtaja, dada anajiweza na mzee wake ni tajiri, huyo dada nimesikia anachepuka na vijana aliwazidi umri tena bila kujificha! jamaa anajua ila anauchuna tu kwa kuwa yeye ni kula kulala.
Kama kuna wanaume wa aina hii hapa jf naombe wabadili mawazo hayo na waachane mara moja na maisha ya aina hiyo kwani yanaharibu asili ya mwanaume kuwa kichwa.
Wataje?
Mie wapo humu jf nataka niwaoe.....wanajijua
Matatizo ya ndoa yanaongelewa hapa, soma mada, na mimi nasema matatizo hayo hayapo kwenye Uislam. Ni nini ambacho hujaelewa? au ndoa inayoongelewa hapa haina dini? hata kama haina dini, solution? Uislam.
Matatizo ya ndoa yanaongelewa hapa, soma mada, na mimi nasema matatizo hayo hayapo kwenye Uislam. Ni nini ambacho hujaelewa? au ndoa inayoongelewa hapa haina dini? hata kama haina dini, solution? Uislam.
kwani ezdee na dida walikuwa wakiristo? tena walifunga ndoa ya kidini, maana ezdee alihamia kwa dida, na akaondoka kwa bajaji maana kumbe zile gari alizokuwa anapiga nazo misele zilikuwa za dida
Kama wanaume wenyewe ndo hivi bora nisiolewe