Wanaume pitieni hapa: Signs that you will never marry

Wanaume pitieni hapa: Signs that you will never marry

Na hili joto la Dar, nadhani ni kuoga kutwa mara tatu.
 
nahisi utakuwa unaish kwa wazaz bado .....ukiwa unaanza kaz lazima utapika tuuuuu
 
Hiyo no:6 kwa joto hili la Dar utakua chizi.
 

Attachments

  • IMG_20160228_140507.jpg
    IMG_20160228_140507.jpg
    88.1 KB · Views: 22
kuna usemi wanasema kwanini ufuge ng'ombe wakati unaweza pata maziwa..
 
Sijaona logic mkuu, maana umezungumzia tu kazi za ndani kupika na kuosha vyombo!
Kama hizo kazi ndio sababu ya kuoa si unaweza ukaweka mfanyakazi tu!

Kuna watu wana mpunga wa kutosha wanakula hotelini msosi wa maana wa ridhika, kama wewe kwako marriage kwa sababu ya hizo kazi za ndani, you will have to rethink maariage,

Au nimechukulia serious bure hili ni jukwaa la jokes, hebu ngoja niangalie kwanza.....
 
Back
Top Bottom