hisia inategemea mim nishawah kuona mwanaume anamlilia mpenzi wake na machozi yanamtoka sasa sijui alikuwa anamdanyanga ili amsamehe au alikuwa anamaanisha, na mwingine ilikuwa kwenye kuaga marehem mwanaume mmoja alilia sana tena kwa sauti mpaka akashikiliwa, so nahisi hisia zao zatofautiana.