Wanaume ni kama wanyama’


Hilo la kulilia penzi mara nyingi huwa ni usanii!! Ni kama wanavyolia lia au kucheka cheka kwenye movies!!

Hao wanaolia sana kwenye misiba kiasi cha kuvuta attention ya watu ni wachache sana, na mara nyingi husabisha hali ya hewa kuchafuka. People don't want to see crying men!!

Hapa naamini hakuna unyanyapaa au unyanyasaji wa kijinsia....ni biology in action!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…