TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,483
- 666
Hiyo No4 kwa kila pande imenivuta kuchangia uzi wako babu, kwanza shikamoo.
Mi napenda sana kucheza na ukijidanganya unikorofishe ili upitishe ratiba kwa kuwa tu ume do huko mtaa wa pili utachemsha, kwani unapofanya hii kitu sawasawa na kuridhika vema inasababisha hamu ya kula chakula, unywaji wa pombe na wale wavutaji sigara hupunguziwa hamu. na endapo tendo hili litafanyika kwa ufanisi huo huo angalau x3/7 unakuwa sawa na mtu aliyekuwa anafanya mazoezi ya kukimbia 45-50km, hivyo kusaidia kupunguza nyama zisizo za lazima mwilini endapo utazingatia kanuni.
Mwanamke:
Tendo la ndoa linasababisha kiwango cha hormone ya estrogen ktk mwili kuongezeka kwa mwanamke, ni estrogen inayomfanya mtu ajisikie ku do na mpenzi wake, na ni testosterone ambayo inamfanya mwanamke apende ku do. Ni estrogen ambayo inachangia kumfanya mwanamke awe mpole, awe na hali ya ulaini na awe anapendelea kushikwashikwa au kupapaswa na mpenziwe.
Mwanaume:
Mwili wa mwanaume pia huzalisha estrogen na pia testosterone inaweza kubadilishwa na kuwa estrogen ktk mwili wa mwanaume kiasi fulani cha estrogen hutumika kumfanya mwanume awe mpole na kuwa na hali ya ulaini. kadri mwanaume anavyoongezeka umri kiasi cha testosterone hupua na estrogen kuongezeka na hii ndio husababisha wanaume kuwa wapole kwa wapenzi wao wakati wa uzeeni.
Mi napenda sana kucheza na ukijidanganya unikorofishe ili upitishe ratiba kwa kuwa tu ume do huko mtaa wa pili utachemsha, kwani unapofanya hii kitu sawasawa na kuridhika vema inasababisha hamu ya kula chakula, unywaji wa pombe na wale wavutaji sigara hupunguziwa hamu. na endapo tendo hili litafanyika kwa ufanisi huo huo angalau x3/7 unakuwa sawa na mtu aliyekuwa anafanya mazoezi ya kukimbia 45-50km, hivyo kusaidia kupunguza nyama zisizo za lazima mwilini endapo utazingatia kanuni.
Mwanamke:
Tendo la ndoa linasababisha kiwango cha hormone ya estrogen ktk mwili kuongezeka kwa mwanamke, ni estrogen inayomfanya mtu ajisikie ku do na mpenzi wake, na ni testosterone ambayo inamfanya mwanamke apende ku do. Ni estrogen ambayo inachangia kumfanya mwanamke awe mpole, awe na hali ya ulaini na awe anapendelea kushikwashikwa au kupapaswa na mpenziwe.
Mwanaume:
Mwili wa mwanaume pia huzalisha estrogen na pia testosterone inaweza kubadilishwa na kuwa estrogen ktk mwili wa mwanaume kiasi fulani cha estrogen hutumika kumfanya mwanume awe mpole na kuwa na hali ya ulaini. kadri mwanaume anavyoongezeka umri kiasi cha testosterone hupua na estrogen kuongezeka na hii ndio husababisha wanaume kuwa wapole kwa wapenzi wao wakati wa uzeeni.