Bibi shamba
Member
- Aug 31, 2020
- 44
- 73
H
Umeamkaje?pole mdogo wangu ebu achilia moyo alf kubali maisha mengine lazima yaendelee
salama Namshukuru MunguUmeamkaje?
Safi, uwe na Siku njemasalama Namshukuru Mungu
Ukikubali mimba kabla ya kuolewa 70% ujue utalea mtoto peke yako wakati mwenzio anajirusha na wengine wabichi