Sweety zai
Member
- Jan 10, 2018
- 7
- 10
Dada usione mwanaume kavaa suruali mkanda kachomekea nadhifu ana vichenji vikakuzuzua mchunguze kiundani kabla ya kuolewa nae .
Zijue Tabia zao zisizopendeza na kama zipo unazozijua ongezea hapa.
*wabahili hawa akishakuoa anachojua kukuhudumia chakula tu wengine wanafika mbali wanakuweka kama pambo hatahuduma hakupi
*Gubu.huyu akianza kusema haeshi siku nzima anasemaa tu akitoka ndio unapumzika.
*kuhesabu vitoweo.Mara nyingi huyu anakupangia mboga iwe siku tatu tatu hata wakija wageni utajijua mwenyewe.
*wachoyo.hapendi ndugu zako mwanamke wake au usaidie kwenu
Zijue Tabia zao zisizopendeza na kama zipo unazozijua ongezea hapa.
*wabahili hawa akishakuoa anachojua kukuhudumia chakula tu wengine wanafika mbali wanakuweka kama pambo hatahuduma hakupi
*Gubu.huyu akianza kusema haeshi siku nzima anasemaa tu akitoka ndio unapumzika.
*kuhesabu vitoweo.Mara nyingi huyu anakupangia mboga iwe siku tatu tatu hata wakija wageni utajijua mwenyewe.
*wachoyo.hapendi ndugu zako mwanamke wake au usaidie kwenu
usubiri kupambazuke ndo ujue oohhh kumbe hili nijiwe.