Huna adabu....lol!
kabla hujanificha, we umeyaonea wapi hayo ka sio kwa mpnz Wako? Unadhani wote Wako ivyo?
Huna adabu....lol!
Aspirin si kila mtu anapenda pembeni ka wewe
From friends wenye me wasionyoa
Mbona tunawaona wengi tuuu humu mtaani?!! wanaume wengi wanafanya kazi zinazowezesha kwapa kuonekana; basi likiinuliwa tu ni balaaa. Sasa kama kwapa halijanyolewa usitegemee kwingine kumenyolewa...
Na wewe kiherehere cha kuangalia makwapa ya watu umekitoa wapi???Mbona tunawaona wengi tuuu humu mtaani?!! wanaume wengi wanafanya kazi zinazowezesha kwapa kuonekana; basi likiinuliwa tu ni balaaa. Sasa kama kwapa halijanyolewa usitegemee kwingine kumenyolewa...
Umeona eh? Na sio wote wasiopenda manywele kama wewe au huyo rafiki yako....
Subutu yake!, anajua akiziacha kdg tu he ain't getting lucky
Afu ukute kinamwaga kajasho ka brown....Ata wanawake wa hivyo wapo, mwanamke kavaa kinguo cha kukata mabega, af kapanda daladala ameshika bomba, mmm icho kichaka Ata chatu anaishi, sikwambii harufu yake sasa....
Poa.Ss sio wa bishi kama ninyi,Ila kazi zinazidi.mtunyoe hata ninyi mweeee.
kwani hizo nywele wanawake hamna? Mbona kunawengine ni vichaka, na wanawake wengine wanamisitu kbsa