Yamekuwa hayo tena.
Nipe link ya uzi basi
Yaani fahari wawili wapiganapo nyasi ndio huumiaKatika vitu nyingi ambazo wazazi tunakosea, ni pamoja na hii tabia ya kuwa adhibu watoto kwa makosa ya wazazi wao.
Wazazi tunakosea sana kufanya chuki kwa watoto ambapo wamezaliwa kutokana na starehe za maungo yetu ya mwili.