Wanaume Mungu anatuona katika hili

Wanaume Mungu anatuona katika hili

Huyo mwanamke hana msimamo.
Mimi nikisema sitoi ni sitoi.
Acha isimame hadi ivunjike.
Hahaha kutoa utotoa ila lazima utume salamu (unyonye dudu) kwandugu zako wote mpaka mashine ilale
 
Kama alivyosema jamaa hapo juu, ni kweli wewe una dhambi sana. Yaani umepewa ili mpeane ila wewe kwa ukatili wako unapanga kumnyima mwenzio makusudi, why....dushe likipasuka je?
Ipasuke tuu. Ila hataonja
 
hahaa,nimecheka sanaa, ngoja ntaanza kuiapply hiyo, maana nilikua nawahurumia nikidhani wanaumia kumbe waongo, sasa acha zivunjike tuuu😀😀
Hawa viumbe sio wa kuonewa huruma.
Ukitaka uweze kuwa na roho mbaya anza hivi..chukua chupi chana au iliyotoboka vaa.
Kivyovyote hata akikubembelezaje ukikumbuk chupi uliyovaa lazima ukatae tuu.
Fanya hivyo Mara mbili tatu.. Utazoea
 
Hawa viumbe sio wa kuonewa huruma.
Ukitaka uweze kuwa na roho mbaya anza hivi..chukua chupi chana au iliyotoboka vaa.
Kivyovyote hata akikubembelezaje ukikumbuk chupi uliyovaa lazima ukatae tuu.
Fanya hivyo Mara mbili tatu.. Utazoea
hahaaaa, wee mcute umenishinda tabia kabisaa
 
Tecnic ya watoto wadogo hii.Watuwazima tuna namna zetu sio hii ya kutafuta huruma.
 
Akija kavaa hivi,, mzee hapo hupati kitu
IMG-20181026-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom