Wanaume Mungu anatuona katika hili

Wanaume Mungu anatuona katika hili

Dah, hujawahi sikia ile "yani wewe sijui una nini, mi huwa ni mtata ila sijui imekuwaje kwako wewe?" Naimani una ufahamu na hii kauli! The Art of talking tu wala sio lazma nikuoe!
upuuzi mtupu kauli zao za kishujaa tu anakuaminisha kama huwa anawakazia wengine ila kwako eti ajui imekuaje mpaka kakuachia
 
Huyo mwanamke hana msimamo.
Mimi nikisema sitoi ni sitoi.
Acha isimame hadi ivunjike.


cute b una dhambi wewe, hivi hujuwi kuwa umepewa ulichonacho ili umgawie mwenzio wakati wa shida? Acha dhambi za kujitakia, si vizuri ipo siku na wewe utanyimwa utajisikiaje? Kumbuka karoti na ndizi ama matunda si mbadala wa dushe, joto mwanana halina mbadala.
 
cute b una dhambi wewe, hivi hujuwi kuwa umepewa ulichonacho ili umgawie mwenzio wakati wa shida? Acha dhambi za kujitakia, si vizuri ipo siku na wewe utanyimwa utajisikiaje? Kumbuka karoti na ndizi ama matunda si mbadala wa dushe, joto mwanana halina mbadala.
Hahahahaha cha ajabu mnanyimwa mnalia na hampewi ila siku nikitaka nikikutafuta unawahi na mwendo wa jeti faita
 
Back
Top Bottom