Hiyo mimba naipokea kirahisi rahisi tuu mkuu??Waliowengi kama wewe ungukia pabovu, jamaa atakusotea hata mwaka lkn siku akikunasa na mchezo ukakolea anakupiga mimba na kupotea, akiwa analipiza kisasi cha jinsi ulivomsumbua na wakat huo asingependa kuwa na mpez mwenyeisimamo mikali
Miaka 25 napewa mimba bila Mimi kupenda? Oh hell no