Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Mkono wako mmoja naurudisha nyuma naubana kwenye mgongo wako afu nakula chali unaulalia ule mkono..Chini ya goti..wakati huo wewe upo kwa wapi? Nyuma au juu?
BTW zote nazipangua tuu![]()
Afu sasa ndio narudi chini ya goti kwa mguu wangu...!
Aisee! Huchomoki.





