Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,888
Wadau wangu leo naongea nawaheshimiwa fulani wanaojidai wamezaliwa na wamama wakwe na wake zao.
Iwafikie woteee ambao hawajawatumia mama zao pesa za matumizi tokea wawe nafamilia iwafikie wakaka wote ambao hawawatumii mama zao hela ya matumizi.
Tumeenda leo kidogo kuwasalimu watoto na wazee wasiojiweza.
Nyie wanaume peeh mama anawatoto 9 nane wanaume mwanamke mmoja kahudumia hadi kachoka .
Dah! Watu mmesomeshwa na huyo mama mkatunzwa vyema wala hamjishurutishi kumtumia vocha ya buku nyumba inavuja mvua inamnyeshea hivi nyie mnataka nini??
Asilimia kubwa mnacheza cheza tu mijini mkishaishiwa mnakuja oh mama nisaidie hapo hadi zile pisi kali zimewakimbia.
Mtajijuu kabisa kabisaa. Mnajiona mpo juu kama ndege angani.
Hata hela ya dona hamumpi mama yako , hivi friji limejaa kabisa chakula kimejaa kabisaa kwako hadi unawapa mbwa ila kusema mama unaendeleaje wewee hakunaga.
Anaumwa anajitibu na dawa za miti shamba. Ila mama wakwe ndio wanapendeza , magirlfriend wenu wanang'araa hai hii ni mbayaaa.
Oneni aibu basi unapigilia pamba mama yako mamayako hana hata maji yakunywa nguo za ndani hana umekaa huku umepanga nyumba nakupa gishia videnti vya shule aibu zenu .
Ogopeni shida zitakazowakuta kwa mama mlio waacha mataani.
Aibu kwenu nyie mnaokula makasaza na hamjui wazazi wenu wanaishije nawakati wao ndio wamewafikisha hapo.
Usiku mwema ... mnakera kama nini nahuku naushaidi tosha kuwa mnafanya hivyoo.
Iwafikie woteee ambao hawajawatumia mama zao pesa za matumizi tokea wawe nafamilia iwafikie wakaka wote ambao hawawatumii mama zao hela ya matumizi.
Tumeenda leo kidogo kuwasalimu watoto na wazee wasiojiweza.
Nyie wanaume peeh mama anawatoto 9 nane wanaume mwanamke mmoja kahudumia hadi kachoka .
Dah! Watu mmesomeshwa na huyo mama mkatunzwa vyema wala hamjishurutishi kumtumia vocha ya buku nyumba inavuja mvua inamnyeshea hivi nyie mnataka nini??
Asilimia kubwa mnacheza cheza tu mijini mkishaishiwa mnakuja oh mama nisaidie hapo hadi zile pisi kali zimewakimbia.
Mtajijuu kabisa kabisaa. Mnajiona mpo juu kama ndege angani.
Hata hela ya dona hamumpi mama yako , hivi friji limejaa kabisa chakula kimejaa kabisaa kwako hadi unawapa mbwa ila kusema mama unaendeleaje wewee hakunaga.
Anaumwa anajitibu na dawa za miti shamba. Ila mama wakwe ndio wanapendeza , magirlfriend wenu wanang'araa hai hii ni mbayaaa.
Oneni aibu basi unapigilia pamba mama yako mamayako hana hata maji yakunywa nguo za ndani hana umekaa huku umepanga nyumba nakupa gishia videnti vya shule aibu zenu .
Ogopeni shida zitakazowakuta kwa mama mlio waacha mataani.
Aibu kwenu nyie mnaokula makasaza na hamjui wazazi wenu wanaishije nawakati wao ndio wamewafikisha hapo.
Usiku mwema ... mnakera kama nini nahuku naushaidi tosha kuwa mnafanya hivyoo.