Wanaume msiowatunza mama zenu hii niaibu kabisa

Wanawake wabinafsi kweli.Mbona hujaongelea kuwatunza baba zetu au nyie ndo mnatuma laki kwa mama halafu unamwambia Ampe Baba elfu 5.
Hujui kwamba mama alivyokuwa ananyonyesha baba ndo alikuwa analeta nyama ya mtori?
 
Wanawake wabinafsi kweli.Mbona hujaongelea kuwatunza baba zetu au nyie ndo mnatuma laki kwa mama halafu unamwambia Ampe Baba elfu 5.
Hujui kwamba mama alivyokuwa ananyonyesha baba ndo alikuwa analeta nyama ya mtori?
Wewe sijawahi sikia mimi ninachojua ni hiki hatujawahi kuwa wazembee kuwalea wote .
 
Wewe una laana na hautakuja kuzaa nakuapia hiyo Mimba uliyotoa itakutesa Maisha yako yote
Jali mama yako pita hivi nani akuzalie na huna dalili ya kumuoa pita kulee pembeni mama zenu waliheshimiwa wakaolewa wakazaa wakasitiriwa sisi sio vitwana mtukome .
 
Wazaz wote wana haki ya kutunzwa na kulelewa kama watoto, bila kubagua maana bila baba usingekuwepo kwa kipimo kile unachomthaminisha mama ndicho hicho utumie kwa baba pia.

Na pia kuna wazaz wengne wanajiweza saaana, huyu utampa faraja endapo utakuwa unamtembelea au kuwasiliana nae kwa njia ya smu.

Vivyo hvyo kwa mtoto asye nacho s lazma ukampe mzaz laki kama wee huna mpe ulichojaaliwa, ingawa kuna wazaz weny dharau wakiwa na mtoto anayewathamin(mweny uwezo) sana bas ww usiye na kitu unadharaulika hii hulka wanayo sana kina mama.

Muhimu tuwatunze na kuwalea wazaz wetu pale inapobidi wapendwa.
 
Ndiyo… ina ka raha flani atapata.. au zawadi za hapa na pale.
Hata mm mwanzo sikujua kama even if mama yako anajiweza,lkn kama watoto wake tumejipangia on monthly basis kutuma chochote kitu home ,inakupatia wepesi flani nakuongeza bond kati yako namzaziwako
 
Iko hivi. Wanaume wengi sana wanakwepa majukumu hasa hiki kizazi. Too bad wengine wanasema hakuna kuoa, sijui kupiga na kusepa fine. Umuhimu wa mwanamke (anayejielewa) uko hapa.

Kazi ya mwanamke katika maisha ya mwanaume ni kumkumbusha vitu muhimu kama hivi. Mwanaume huyu angekua na mke (sio demu) anayejielewa angemkumbusha majukumu yake ipasavyo. Sio yote kwa sababu mengine anatakiwa ayajue mwanaume mwenyewe. Kama na mwanaume mpaka kila jambo ukumbushwe em kula ganja kidogo ubongo ukae sawa labda.

Sasa saivi hawa wa kupiga na kusepa atakumbuka saa ngapi. Kutwa kucha kubadilisha na wote unakuta anawahudumia kidogo anabadilisha kisa manzi anapenda hela..atamkumbuka mama yake alikomuacha. If he doesnt love n respect his mother forget bout him respecting you. Afu na slay queen anajua kuwa hapa sina future nae anakula tani yake amkumbushe kuhusu mama yake kijijini ili iweje labda??

Get a lifetime woman (chagua kwa makini braza) utarudi kuandika nyuzi hapa. Wanawake wazuri wapo tena atakuwa anataka kwenda kwa mama yako kila mara...changa karata mzee!!!
 
Wanawake wabinafsi kweli.Mbona hujaongelea kuwatunza baba zetu au nyie ndo mnatuma laki kwa mama halafu unamwambia Ampe Baba elfu 5.
Hujui kwamba mama alivyokuwa ananyonyesha baba ndo alikuwa analeta nyama ya mtori?
Ukitumiwa mama ataenda sokoni atanunua vitu familia nzima inafaidika.
 
Sema ujue ni aibu sana kumuweka mzazi wako kwenye kituo cha kulea wazee AF wewe upo hai unatumbua maisha mjini kumbuka yeye nae angeamua kukupeleka kwenye vituo vya watoto angefanya tu
 
Unique Flower umeandika kikuda sana na makasiriko yako kama kawaida....

BUT ulichoandika kina ujumbe muhimu sana kwetu sisi Wanaume,,, umewakumbusha Vijana wajibu ambao wengi wanajisahaulisha,,, Wazazi wanapaswa kukumbukwa sana hasa kama hali zao sio nzuri....

Vijana wengi mjini wakipata maradhi huishia kupelekwa wakajiuguze kwa Wazazi wao,,, na Maisha ya Bongo watu wengi akipigwa na ugonjwa miezi miwili tu,, akiba yote imeisha,,, na kimbilio huwa ni kwa Wazazi....

Ni Vyema kuwakumbuka wazazi wetu pale tunapoweza kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom