Wanaume msiokunywa pombe acheni majungu. Tunaokunywa tunawazidi kila kitu kuanzia pesa hadi maisha; njaa zenu zisiwape viburi, hamna chochote

Habari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.

Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli? wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama outfucus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajari ni nani? yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga wa kutoa mijumuisho bila ushahidi wowote wa maana. Umefanya utafiti lini, wapi na kwa nani hadi kuja na hitimisho hili jumla na uchwara? Kesho utasikia eti wanaovuta sigara au bangi nao wanawazidi fedha wasiofanya hivyo. Ni aibu mwanangu.
 
Acha ujinga wa kutoa mijumuisho bila ushahidi wowote wa maana. Umefanya utafiti lini, wapi na kwa nani hadi kuja na hitimisho hili jumla na uchwara? Kesho utasikia eti wanaovuta sigara au bangi nao wanawazidi fedha wasiofanya hivyo. Ni aibu mwanangu.
tulia dogo weka hapa screenshot ya kiasi ulichonacho kwa account yako then na mimi nikuqwekee mslete majungu hamna chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawana pesa mkuu ukiona mtu anadharau gambe jua hajapata pesa siku wakipata watapiga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mpka muda huu nipo bar kulalake acha waendelee na madharau yao tutakutana bank.
16305264526802295338453312602376.jpg
 
Kumbe naongea na kichaa! Du sikujua. Nisamehe mwanangu ngoja nikuache uende Mirembe lau unaweza kupata msaada.
haya madharau ndio mnayo ila hamna kingine let atime talk miaka 40 haunywi pombe na hauna gari wala nyumba unaishia kuchomekea shati la mikono mrefu na brabra mingi kushiriki vikao vya kijiji wewe ndio mchangiaji na kuvaa mashati ya msaada ya chama cha mapinduzi utakuta kimtu kimebaa shati mgongoni kina picha lusinde are you seruous?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwetu inakuwa kawaida sababu expenses sio kubwa.
expense ipi inazungumzia soda ya jero what you gonna protect ndio maana mnaamini mnajiana ila chakushangaza maiaka 40 hauna nyumba wala gari the same moment unabana matumizi kunywa soda ya jero? bulshit men what expenses your talking about dude lets be serious

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.

Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli? wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama outfucus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajari ni nani? yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaweza usiwe kolo,lakini yanayo tokea uko barabarani sio poa,madhala yanatokea pande tofauti na unavyo fikiri,pombe aijengi.

Pombe yaweza kukupa ulemavu na sio kukufilisi.
 
Back
Top Bottom