Miss_Irene
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 320
- 456
- Thread starter
-
- #21
Kwa taarifa yako mwanamke hata akiwa chizi anazaa tu, ila mwanaume akiwa chizi thubutu maana yake ni kwamba mwanamke vyovyote nilivyo nitapata tu wa kunigegedaMi naona kama wewe ndio una stress kiasi unatupangia namna ya kukutongoza. Sura yako na shepu havimpi mwanaume hamu ya kuprolong mambo yawe mareeefu, we kama umekubali jibu, kama hutaki si basi...hadi uje ulalamike?
Hmmm!Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Kabisa mkuuHuo ndiyo ukweli.
Hata ukishambuliwa ila ujumbe umefika.
Kwanza kuanza kuuliza," umenikubalia au vipi ombi langu " Ni uzamani kidogo.
Kuna maombi mengine yanakubaliwa automatically; hayahitaji maswali ya ndiyo au hapana.
DuhKwa taarifa yako mwanamke hata akiwa chizi anazaa tu, ila mwanaume akiwa chizi thubutu maana yake ni kwamba mwanamke vyovyote nilivyo nitapata tu wa kunigegeda
Kwani uongo machizi wangapi wanazaa mtaani?
Bila shaka mkuu, maana kuna utongozaji mwingine unaudhiUnataka wote tutongoze kwa style moja?
Huo unaokera wengine ndo wanapendaBila shaka mkuu, maana kuna utongozaji mwingine unaudhi
Kwani weye wasemaje?Siku hz kutongoza kupo??
Kweli yani mwanamke wa cku hizi ukimwambia tu kwa maneno hayo unaweza ona kama umelogwa. Saivi huwa ni vitendo mjali sana kadri ya uwezo wako ili kumleta karibu. Sasa mwanaume anauliza vipi jibu langu, sijui hapo utajibiwa niniWanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
[emoji44][emoji44][emoji44] loh!Kuna akina sie ambao kutongoza hatupendi kabisa yaan ni mwendo wa mialiko ya Kutoana out na ofa ndogo ndogo na kukujal kwa sasa as mpenz mpka unajikuta umekuwa mpenz bila kutongozwa....siku ukianza kulia kuwa mbona sikujal au sikupend ndio hapo nakuuliza lini niliwahi sema nakupenda
You may know now babyboo..I don't know
Doooh mbaya wewe hutaki kuconfessKuna akina sie ambao kutongoza hatupendi kabisa yaan ni mwendo wa mialiko ya Kutoana out na ofa ndogo ndogo na kukujal kwa sasa as mpenz mpka unajikuta umekuwa mpenz bila kutongozwa....siku ukianza kulia kuwa mbona sikujal au sikupend ndio hapo nakuuliza lini niliwahi sema nakupenda
Why u dont know? As long as i love uI don't know