free stress id
Senior Member
- Nov 11, 2018
- 127
- 109
- Thread starter
- #161
wengine hawajaona somo. asante kushukuruAsante kwa somo la funga mwaka kwa usafi
wengine hawajaona somo. asante kushukuruAsante kwa somo la funga mwaka kwa usafi
dear huna chet feki kweli?Wanawake bhana wanataKa wamtawale mwanaume kila idara lkn wanarudi wao kuanza kunungunika tena
Sikiliza
Faida ya mavizi na nywele kwapani
Kuna secretary glands nambazo hutoa majimaji yanayosababisha kubost libido kwa mwanaume. Kuna bacteria wengi sehemu hizi za nyele nyingi amabao husecret usiful materials kwa kinga ya mwili na wanauwezo wakutoa vit E itafute ujue manufaa ya Ngozi. Na ktk mapenzi wazungu wajanja wnawaacha mnanyoa harafu wanawauzia losheni yenye vitamin E
Mnafanya ujinga sana harafu mnarudi kusema mwanaume hakuridhishi
Punguwani wakubwa
ntafurahi sana kama umenyoa hii ni kampen tokomeza v.ziumenichekesha mpaka basi!!!!! by the way hivi kweli mwanaume akae bafuni NUSU SAA au SAA NZIMA anaoga???? serious kweli!!!! labda kama anafanya ule mchezo pendwa wa pun..........o. Ila sio kwa kichambo hicho looo!!!
unapinga sheria mpya?Unataka tugeuke mashoga? Piga ua Mimi siwezi kufanya uliyosema.
acha ubahili mkuu, umefanya niliyosema lakini?Kuoga DKK 30?
Kuweka dawa ya mswaki mara 3?
Hii n too much kwa kweli
linyoe kabla sijafika hukoVuzi limekolea weusi, linang'aa balaa kuliko hata ndevu za Rick Ross.. Japo limeshona kama msitu wa Amazon..
unakiuka amri?Ninataka nifuge Rasta si litapendeza!
sheria mpya lazima mtekeleze hakuna kunipinga hapaDakika 20 nasugua meno?, Tanzania tuwe na nidhamu ya muda...
Binadam washaoza, hata wafanye usafi kila baada ya dakika 5...bado wataendelea kunuka km kawaida
hii ni amri mtazinyoa kwa lazimaMi nshafuga na rasi mwenzenu,
Nikitembea mtaani naziachia kwa mbele...nikirukaruka mademu utasikia oyooooooo rasta mannnn
whwasssagwaaa man.
Then nazikamatilia fresh nazisweka ndani ya konkin.
Fafanua hapa njia gani inatumika kuzinyoa hizo ndevu za makalioni na anyejinyoa akae staili ganiKwenye ule mfereji: nani kasema kunyoa zile nywele za makalioni ni ushoga? embu acheni hizo mwanamke wa kujiamini kama mm siwezi kuta mkaka wa watu kanyoa nywele za kule nikamuwazia mabaya, tangu leo nasema hivi huo ni uchafu kama unazo leo nyoa zote kipara usiende nazo kesho kazini.
asante kunielewa wengine wananibeza ila wasipobadilika basi watoto wazuri kama sisi wataishia kutuona jf na vi id vyetu feki.Uzi mzuri sana umegusia nyanja muhimu sana vya usafi haswa hapo kwenye kinywa ubalikiwe kwa ukumhusho japo JF imejaa mzaha kiukweli kumwambia mpenzi wako vitu vyengine Direct sikitu rahisi nayeye lazima ajisikie bibaya.
Nitaanza kutekeleza kesho tu baadhi ya vitu haswa kinywa sijasema kinywa changu kichafu ni hizo njia.
Naushea kwenye store yangu ya WhatsApp.
hakuna namna hii ni lazima mkuuDah wanaume tunapata tabu pesa tutoe bado hadi vuzi la tako tujipinde tunyoe nigga please
Thats my girl, love you too, be blessedwanaume kama wewe ni wachache unavyojibu kiistaarabu nimependa aisee
acha kupotosha watu usafi ni lazima.
hata akilala kifo cha mende kama zipo zinaonekanaHahahaa!! Mleta mada atatusaidia kujibu.
nextweek zamu yao lazima niwafundishe kila kitu.umuhimu wa kutokata nywele kamauulize samson
ila sawa umesikika ila na nyie muoshe njia za mkojo hizo kila mtokapo kukojoa...yani mtoto wa kike anakwenda chooni kukojoa bila hata maji kwenye kopo....90% hawaoshi sehemu za nyeti baada ya kutoa haja ndogo
mpaka MUDA HUU HUJANYOA? HUJIPENDI WEWEMi nina panki kabisa kama pepekale
NTAWANYOA KWA NGUVU TENA KWA KISUTufungulie saloon
Mke wangu mwenyewe sipendi anyoe KABISA napenda kumwona nazo zikiwa refu haswa, mimi ndio kabisaaa hata sikumbukagi
Ni mwendo wa Rasta tu ila safi, ukizichana na ile chana kubwa ya mti raha tupu[/Q
poleee
dakika zote hizo ka unaosha gariamalize dk 30