bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 594
- 1,351
Hapa JF kuna mada zimepamba moto sana wanaume wanalia kila siku na kupeana mbinu za kututuliza wanawake tusitoke nnje eti, mara sijui mpe pesa mara kitandani sijui goli nyingi
Wanaume hao hao wanaokuja kulia lia hapa wanamichepuko kibao nnje yani kitu nilichogundua ni kwamba wanaume asilimia kubwa wana michepuko na wote wanawivu hawataki kuchapiwa. Sasa wewe ukitoka na mke wa mtu unategemea mke wa huyo mtu akipunguza mapenzi kwa mmewe, mmewake unazani kinachofuata ni nini? Ni lazima na yeye amvizie mke wako apate mapenzi.
Yaani kuchapiana ni kama mzunguko, ukila cha mwenzio na chako kitaliwa tu , wanaume mkitulia ndio habari za wake za watu kutoka nnje hamtoziskia, maana wake za watu wanaliwa na wanaume sio majini. So anayetakiwa kuja kulalamika hapa ni mwanaume mtulivu sio unawanawake 6 nnje unakuja kulia lia hapa wakati ndio wale wale.
Wanaume hao hao wanaokuja kulia lia hapa wanamichepuko kibao nnje yani kitu nilichogundua ni kwamba wanaume asilimia kubwa wana michepuko na wote wanawivu hawataki kuchapiwa. Sasa wewe ukitoka na mke wa mtu unategemea mke wa huyo mtu akipunguza mapenzi kwa mmewe, mmewake unazani kinachofuata ni nini? Ni lazima na yeye amvizie mke wako apate mapenzi.
Yaani kuchapiana ni kama mzunguko, ukila cha mwenzio na chako kitaliwa tu , wanaume mkitulia ndio habari za wake za watu kutoka nnje hamtoziskia, maana wake za watu wanaliwa na wanaume sio majini. So anayetakiwa kuja kulalamika hapa ni mwanaume mtulivu sio unawanawake 6 nnje unakuja kulia lia hapa wakati ndio wale wale.