Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,765
Dhumuni kubwa la mahusiano kati ya mwanamke na mwanaume ni kugegedana hayo mengine ni mbwembwe tu. Sasa kama mwanume ukishindwa kumridhisha mke/mpenzi wako kwa sababu za kizembe tu hapo utakuwa umejisaliti. Hasa unakuta mwanaume umeajiachia unakuwa bonge bonge hufanyi mazoezi kutwa kuzunguka tu na Vits, sasa mke akija kutana na wale waendesha guta lazima uimbe haleluya
Wanaume tujitahidi kwa hilo jukumu, vinginevyo...............
Wanaume tujitahidi kwa hilo jukumu, vinginevyo...............
