Wanaume mabonge kulikoni?

Wanaume mabonge kulikoni?

Uta Uta

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2016
Posts
3,740
Reaction score
8,765
Habari wanajamvi?

Ukifuatilia kwa makini fumanizi nyingi zinazotokea mjini, utakuta aliefumaniwa ni mke wa jamaa bonge bonge na ana kitambi cha utapiamlo. Sasa ukiwa bonge kuna shida gani haswa mpaka mke anaenda kugongwa kwingine?

Mimi mwili unaongezeka nimeamua kufanya mazoezi ya kufa mtu maana hii hali inatishia amani. Na nyie wadada hebu tuambieni kwanini mnatutenda sisi vibonge?
 
Ngoja nimuonyeshe huu Uzi Jamaa yangu hapa karibu akinipa jibu nitarudi

Nadhani unamuhusu sana
Nimebashiri jamaa yako ni huyu hapa pichani. hahahaha
kitambi.png
 
Halafu kwa bahati nzuri wanaume vibonge wengi ndio wenye fedha. Cha ajabu wake zao ndio wanaongoza kwa kuchepuka.
Hapo ndipo panaleta shida, nini tatizo hela ipo na kila kitu ndani kipo
 
Back
Top Bottom