Tunaachana pole pole bana ili tusileteane stress... Umeamkaje wifi manake mara ya mwisho uliaga waenda kulala!hamjaachana tu,subiri aje akuletee mke mwenza ndo utaelewa
Hivi hapa unamzungumzia mpenzi wako wa ukweli au??? Wanchekesha ujue!.. Sasa vimeundwa na nani kama sio yeye?Tatizo lake anapenda aonekane matawi ya juu kila siku na anachukua vya bei tu au hajui starehe gharama?? Vieleavyo vimeundwa bwana alaaaa!
kama ulihisi hana kwanin umsumbue? Yan wanawake kama wewe mie ndo nawakiaga huna hata chembe ya mapenzi ni kumaliza shida zako na Outing.
Unampenda kwa dhati huyo baby wako?.. Sio vizuri kuja kumsema huku, maisha kuna kupata na kukosa sasa wewe wataka apate kila siku? Wewe pia sio vibaya ukimpa ofa wakati ameishiwa.
Kwani kuna siku nimemtangaza alivyoishiwa? Kwa taarifa yako mimi na nitonye twapeana!.. Chake changu! Changu chake!
Unampenda kwa dhati huyo baby wako?.. Sio vizuri kuja kumsema huku, maisha kuna kupata na kukosa sasa wewe wataka apate kila siku? Wewe pia sio vibaya ukimpa ofa wakati ameishiwa.
Imenikera sana tena sana, juzi nimetoka na jamaa yangu tumezoea kupanda tax eti kanitembeza kwa mguu, hlf tulipofika akaagiza soda kumuuliza baby vp leo kaanza ooh! Unajua ATM yangu ina matatizo mara imefungiwa mara imekuwa ghafra jana sikwenda benki mi nikatulia.
Sasa leo namtumia plz recharge me ananipigia simu ooh! Baby si unajua niko site? Yaani huku ni porini na vocha hakuna. Sasa unamdanganya nani?
Siku hizi kuna SIMBANKING, kuna MPESA, TIGOPESA NA AIRTEL MONEY, sasa hapa inakuwaje unaniambia mara ATM mbovu si ufanye transaction uingize kitu mpesa tuendelee kutanua? Au kama umefulia si useme coz najua mshahara mpaka next week, aaagh uongo wote wa nini?
Kama umo humu naomba uione, umenikera sn mambo ya site mimi hayanihusu na ukikuta umeibiwa uanze kulalamika.
Tatizo lake anapenda aonekane matawi ya juu kila siku na anachukua vya bei tu au hajui starehe gharama?? Vieleavyo vimeundwa bwana alaaaa!
kama ulihisi hana kwanin umsumbue? Yan wanawake kama wewe mie ndo nawakiaga huna hata chembe ya mapenzi ni kumaliza shida zako na Outing.
Sasa kumbe watokwa povu na mme wa mtu??? Kumbe wataka akupe pesa wewe afu watoto wake washindwe kwenda chooni??? Ukiona hivyo ujue alimpeleka wife shopping ufaransa ndio mana akakosa za kukuhonga wewe! Tafuta mume wako atakupa kila utakacho!Ni mme wa mtu, sina haja ya kumpenda kwa dhati kwani najua hatanioa ananichezea tu kwa hiyo kumchuna ni halali yangu!!
Thanks darling!I'm proud of being with u my love
Mie pia shemeji angu, how was the day?Nimefurahi kukuona shemu...
Ni mme wa mtu, sina haja ya kumpenda kwa dhati kwani najua hatanioa ananichezea tu kwa hiyo kumchuna ni halali yangu!!
Ukitegemea kutongozwa ndio maisha yasonge ni vibaya sana, ikitokea siku hujatongozwa na maisha nayo yatasimama hutaamini. Jitahidi ufanye kazi ndugu yangu, raha sana kujivunia ulichonacho hata kama ni kidogo ni chako!Ukinizingua nakumwaga, wanaume mlivyo wengi siku hizi hata nikisema sasa hivi nitembee tu kidogo kutoka posta mpaka feri nitatongozwa na wanaume zaidi ya kumi.
Ukinizingua nakumwaga, wanaume mlivyo wengi siku hizi hata nikisema sasa hivi nitembee tu kidogo kutoka posta mpaka feri nitatongozwa na wanaume zaidi ya kumi.