Wanaume lini mtajifunza??

Wanaume lini mtajifunza??

New sesason ya Mwendokasi, ngoja nione mwisho wake.

[HASHTAG]#MamaNancy[/HASHTAG]
 
Mwanamke amekuacha kwasababu huna kitu, badala yakwenda kutafuta kazi we unaenda kutafuta mwanamke mwingine... What's wrong with u brother?

Kwani wanawake wote kigezo cha kukuacha ni hicho? Wengine hawaangalii hicho kama ni pesa atakushauri mtafute pamoja na si kukuacha, hiyo ni tabia ya malaya tu.
 
New member mada nyingi ni za Facebook na Instagram sio mbaya utabadilika mimi pia nimetokea huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom