Wanawake wa Kibongo hawa wawa au kuna wengine unaowasemea???? Kwa mwanamke wa bongo kuwa romantic ni kuchana POCHI tu hayo mengine mbwembwe tu. POCHI MBELE ROMANCE MBWEMBWE TUbaadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa
mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono
sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.
mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane)
we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
shauri yako..
😉😉😉😉😵😵😵😵😵 ROMANCE ZA WANAWAKE NI NGUVU YA POCHI TU, KAMA WE NI MWANAUME FANYA YOOOOTE LAKINI KAMA POCHI IMETOBOKA UTAISHIA KUITWA BABY,HUB WAKATI UNAGONGEWA NA MAPEDESHEEE MJINI.Sio wote. Hujanijaribu mimi.
Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.
Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.
Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.
aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
wewe hujui..ndo walewale..Nikufanyie yote hayo na mkate wa kila siku ntatafuta saa ngapi!!?
haahhaahaaaNa nyie mkiomba hela muombe kiromantic pia,
sio utatuma hutumi,kama hutumi niambie!
Tuwachekeeni ili iwe rahisi kutupiga mzinga?
sijsisitiza kizungu tu..unaweza mwambia nakupenda..na vitendo tajwa pale juuHivi romantic Mpaka uongee kizungu? Kwanini tusitumie lugha zetu za asili..??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi wenyewe saa zingine mnakera.kila saa tu Hela sijui wigi mara nikakombelee nguo kwa fundi mara sijui vikoba ahaaa! Mara hujakaa vizuri watu wa Finca wamekuja kuchukua makochi eti marejesho yamechelewa.haàaa ! Wanachukua Romantic yote na kuicha Mkatoriki
Tunajadili mambo ya hela hela kama tuko kwenye ubia wa kibiashara vile na wala siyo ndoa
iko kivitendo zaidi..ntthibitisheje sasa hapa?Hebu thibitisha kuwa WEWE upo Romantic.
kweli..sio lazma aanze yeye..naweza anza mimi yeye akafuatisha..but inategemea utayari wake..nnaweza kuwa kimahaba but yy akabaki vilevile.aggyjay sasa KAMA HAYUPO ROMANTIC, SI WEWE UWE ROMANTIC ILI NA YEYE AKOPI NA KUPESTI? AU LAZIMA AANZE KUWA YEYE ROMANTIC? MWANAMKE ANA NAFAS KUBWA YA KUMBADILISHA MUMEWE KITABIA NA MWENENDO KWA UJUMLA, TUMIA NAFAS YAKO
Jus explain kidg kuwa huwa unafanya nini vya kiromantic kwa Mwanaume wako...lets say unampokeaje anapokuja kwako au mnapokutana mahala na je kitandani unakuwa romantic kwa namna ipi?iko kivitendo zaidi..ntthibitisheje sasa hapa?