unakua na mwanamke unamkuta na maisha yake mazuri na furaha tele!!! unamwambia unampenda na ahadi kibao mpaka kwenu unampeleka ikibidi hata anapoishi unamuamisha na kukufata wewe kama na kazi/ biashara zake anasitisha na kurudi nyuma ili tu akufate ulipo!!!! baada ya kumpa ujauzito unamwambia haumtaki wala haumpendi tena umepata mwingine tena unamtamkia maneno hayo mazito akiwa na ujauzito miezi saba! humuonei hata huruma na hali yake jmn!!! hata mtoto humuonei huruma.. hata hufikuriii tayar mwenzio umemrudisha nyuma kimaendeleo, mbaya zaidi ni wewe ulikua unamlilia kila siku unaham na mtoto !!!!
kumbuka aliacha kila kitu kwa ajiri yako kuweni na hofu ya mungu jaman.. kumbukeni mungu yupo tu!!!!
kumbuka aliacha kila kitu kwa ajiri yako kuweni na hofu ya mungu jaman.. kumbukeni mungu yupo tu!!!!