agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Nikki Bwana Hakui, anadhami bado yuko under 25, Sisi huku tuna visu vikali mno na vinatutia headache mpaka tunaona havina maana sasa.
😀 😀 😀Huyu jamaa mapenzi yanamsumbua sasa hivi anatumia takwimu kumsifia mpenzi wake tu
acha roho mbayaNgoja aibiwe mke, ili achanganyikiwe vizuri.

Si anaringishia ringishia.acha roho mbaya![]()
Lakini manzi wake mzuri sanaa 😀Huyu jamaa sijui kapewa nini na manzi ake...
Hizi papuchi za ukubwani ni taabu sana.
Yaani jamaa kisa manzi sasa hivi kama alishaacha kuwa mwanaume tena.
Siku akipigwa chini apost tena huo ukuda.
Kwa hilo sikatai..Lakini manzi wake mzuri sanaa 😀
Huyo Nikki huyo manzi wake hatamwacha salama maana mpk amefikia hatua ya kukosoa maandiko matakatifu😀 😀 😀
Kaokota dodo chini ya mnaziKwa hilo sikatai..
Hata mimi nna manzi mkali sana na kila siku huwa ninamwambia..
Lakini sijafikia hatua ya jamaa ya kuwa kama chizi... yaani jamaa anafanya kama vile amepewa favor na huyo manzi kama vile ha- deserve kuwa nae
Mapenzi upofuHuyo Nikki huyo manzi wake hatamwacha salama maana mpk amefikia hatua ya kukosoa maandiko matakatifu
Kuna post moja kidogo aseme yeye ndio alitoka ubavuni kwa manzi wakeKaokota dodo chini ya mnazi

