zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,836
Habari zenu wana.Maisha yanaenda kwa kasi sana. Halafu kwa kushangaza wanawake sikuizi ni Kama wamestuka ki design flani wanajitafutia pesa hawataki kuwa tegemezi tena.
Wanawake wenye kipato kikubwa wamekuwa wengi sasa hivi wenye uwezo wa kumudu kabisa mahitaji ya familia bila mwanaume kutia mkono.
Tuchukulie mfano katika siasa kwa Mfano Mama Samia (Makamu wa Raisi) nina uhakika ana kipato kikubwa kuzidi mumewe Ila wanaishi pamoja. Nadhani hata kumpiga kofi au kumkoromea wakati mwingine inashindikana ndani ya nyumba.
Kwasababu kwanza anakuwa Kama msemaji wa familia na majukumu makubwa Anaweza kuwa yeye ndo anayatekeleza sasa utamtisha vipi.
Hata mkiachana ana uwezo wa ku move on.
Mi nahisi unakuwa unadhalaulika wakati mwingine hata kupajua kwako watu wanapafahamu kwa jina la mkeo "Pale ni kwa mama Samia"hawasemi "Pale ni kwa Baba Flani"
Hii inakatisha sana tamaa unaweza ukahisi upo kwenye jamii ya Matrineal kumbe wala upo Patrineal Ila kwa jinsi unavyochukuliwa unakata tamaa.
Wanawake wenye kipato kikubwa wamekuwa wengi sasa hivi wenye uwezo wa kumudu kabisa mahitaji ya familia bila mwanaume kutia mkono.
Tuchukulie mfano katika siasa kwa Mfano Mama Samia (Makamu wa Raisi) nina uhakika ana kipato kikubwa kuzidi mumewe Ila wanaishi pamoja. Nadhani hata kumpiga kofi au kumkoromea wakati mwingine inashindikana ndani ya nyumba.
Kwasababu kwanza anakuwa Kama msemaji wa familia na majukumu makubwa Anaweza kuwa yeye ndo anayatekeleza sasa utamtisha vipi.
Hata mkiachana ana uwezo wa ku move on.
Mi nahisi unakuwa unadhalaulika wakati mwingine hata kupajua kwako watu wanapafahamu kwa jina la mkeo "Pale ni kwa mama Samia"hawasemi "Pale ni kwa Baba Flani"
Hii inakatisha sana tamaa unaweza ukahisi upo kwenye jamii ya Matrineal kumbe wala upo Patrineal Ila kwa jinsi unavyochukuliwa unakata tamaa.