Drake wa Tz
Senior Member
- Oct 23, 2017
- 124
- 79
Inajulikana
Kwani bado unatembea na makuli au wabeba mkaa? Inahuzunisha sana.Maranyingi mmekuwa mkiwashutumu wanawake kuwa ni wachafuu lakini kuna wanaume ni wachafu sijapata kuona mwingine unakutana nae barabarani tuu harufu anayotoa utafikiri beberuu la mbuzii
Wengine ndiyo mkiwa mnataka kufanya yale mambo yetu akivua surualiiii lol harufu inayotoka haielezeki boxer unakuta huelewi n rangi ganiii kwa uchafuhalafu huo mdomo akiongeaaaa ptuuuuuhhh
Halafu huwa mnajisifia eti mwanaume hapaswi kuwa msafi kama mwanamke
Mnajidanganyaa badilikeni sio kila lawama ni kwa mwanamke kuna wanaume mmezidisha uchafuuuuu
Afuu mnajitapa ooh kuna wanawake kitandani n mizigo,
Nakupaje ushirikiano kwa hali hyooo??????
Pore kwa yariyokukuta mapredeshee tupo unavamia walugalugaMaranyingi mmekuwa mkiwashutumu wanawake kuwa ni wachafuu lakini kuna wanaume ni wachafu sijapata kuona mwingine unakutana nae barabarani tuu harufu anayotoa utafikiri beberuu la mbuzii
Wengine ndiyo mkiwa mnataka kufanya yale mambo yetu akivua surualiiii lol harufu inayotoka haielezeki boxer unakuta huelewi n rangi ganiii kwa uchafuhalafu huo mdomo akiongeaaaa ptuuuuuhhh
Halafu huwa mnajisifia eti mwanaume hapaswi kuwa msafi kama mwanamke
Mnajidanganyaa badilikeni sio kila lawama ni kwa mwanamke kuna wanaume mmezidisha uchafuuuuu
Afuu mnajitapa ooh kuna wanawake kitandani n mizigo,
Nakupaje ushirikiano kwa hali hyooo??????
Papuchi....na kama dar basi wote ni washamba maana hamuwezi kugegedana mkiwa na mojasho hapo ushirikiano utKua FMimi sijuiiii
Ndio ni kweli wapo ambao ni wachafu by nature na wengine ni wazembe tu. So it depends on personalityMaranyingi mmekuwa mkiwashutumu wanawake kuwa ni wachafuu lakini kuna wanaume ni wachafu sijapata kuona mwingine unakutana nae barabarani tuu harufu anayotoa utafikiri beberuu la mbuzii
Wengine ndiyo mkiwa mnataka kufanya yale mambo yetu akivua surualiiii lol harufu inayotoka haielezeki boxer unakuta huelewi n rangi ganiii kwa uchafuhalafu huo mdomo akiongeaaaa ptuuuuuhhh
Halafu huwa mnajisifia eti mwanaume hapaswi kuwa msafi kama mwanamke
Mnajidanganyaa badilikeni sio kila lawama ni kwa mwanamke kuna wanaume mmezidisha uchafuuuuu
Afuu mnajitapa ooh kuna wanawake kitandani n mizigo,
Nakupaje ushirikiano kwa hali hyooo??????
Hahahaaa. Kweli mwayaBila shaka wahusika wataelewa n kujirekebisha.
Hahaaa. Sawa Babaangu ila sio kwa makavu hayo. LolKwaio akili yako ndo imegota hapo.. Huez kujiongeza ukampelekea hata sabun na na marashi uyapendayo, mchetue hajastuka huyo bebelu wako usituchanganye. Vyuma tight
Sjaelewa atiIn her "cheek".
